Yanayojiri Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu, na Mkutano wa Hadhara Temeke Leo Jumatano 25/1/2023

Hii ilikuwa ratiba ya chama tulia
 
Karibu nyumbani TL. Alietaka kukuua hana pumzi tena, hana madaraka tena,ameoza nyama zake zote, ameliwa na wadudu, amebaki fuvu na mifupa wa kiuno chini ya futi sita.
Ama kweli maisha ya binadamu ni hadithi kama anavyosema Mzee Mwinyi. Tupendane kesho ni fumbo.
 
Amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…