Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeHii ilikuwa ratiba ya chama tulia
TL ni mtu mwema sana.
Mungu amemfadhili upendo.
uwekwe kwenye kula tunda kimasihara
Kalio lina tetema?Huu uzi nadhani umesomwa na kila member.
AmenMungu ooyeee, Magufuli chini chini zaidi
Kungekuwa na Tume ya Uchaguzi, mmoja ni Rais na Mwingine ni PMMh. Lissu tayari ametua Dar es salaam muda huu hapa yupo na Mh. John Mnyika
View attachment 2495271
masiara ayo😂😅uwekwe kwenye kula tunda kimasihara
Huyo yupo Chato huko.Yule jamaaa anajiita countywide alileta Uzi kuwa hakuna watu,yeye alienda airport gani?
Weka Stori yote mpaka alipojibiwa na Mnyika kwamba atamkuta Temeke. Au wewe ni kiwanda cha uzushi?
Waikubali CHADEMA, WATOTO wa SHULE WALIVYOMPIGIA SHANGWE TUNDU LISSU, MWENYEWE ASHANGAA...
AmenNa kwa hili Mungu wa Israel na atende matendo makuu. Amina
Amen.Karibu Nyumbani Lissu.
MUNGU alikuwa na makusudi yake kuendelea kukuacha Hai, pengine anataka utusaidie kutunga Katiba mpya itakayokuwa mkombozi kwa vizazi vijavyo.
Tutarajie kusikia Lissu akiteuliwa na Rais kuwa Mbunge. Ili akalichangamshe Bunge kwa Nondo za Kisheria
Pia mama Samia ataweka Historia ya kuwasaidia Wazanzibari kupata Muungano unaoendana na mazingira ya sasa.
Nawatakia Mema sana.
Rais wako wewe, sio Watanzania wote tafadhali!!