Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Kujaribu kubeba title ya Mungu ni kujitafutia tu mabalaa na maangamizo
 
MC sijui nani nae.. Mmmmh

Anawesa wesaaaa.. Kutambulisha wageni

Kwani hakufahamu watapata wageni mapema?

Chadema wanapenda misaada ila headphones za translator hao wasikie hakuna kitu..

Hakika mumechemsha sanaaaa
 
Wanasiasa bhana.. Motive zao

Mimi ikifika miaka 68 nita achia chama kama mtangulizi wangu..

Mwingine..

Nilipoona kamwambia flani agombee nafasi yangu nikasema nami nigombee ya aliyo mtuma..

Hawa ndio wanategemewa kama wapinzani..
Kwahiyo we umeyashika hayo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…