Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Upepo hausomeki maana Lema anahesabu kura kama hela vile na kuzifunga mafungu mafungu kama vibunda vya hela.🤣🤣DUH mambo yashabadilika tayari nin? ili hosp. nisiende
Wacha ramliHabari zenu wanaJF wenzangu
Wakuu kwa nilichodokezwa na mtu wa ndani ya mfumo wa chama, ni kwamba mpaka sasa Mwamba tayar miguu juu ameangukia pua. Hivyo ili yeye aweze kutangazwa mshindi ana vijana wake ambao wanajipanga kupiga bao la mkono na baada ya hapo ndo matokeo yatoke kwamba mwamba ndio mshindi wa uchaguzi huo.
Team mageuzi mjiandae mapema kisaikolojia. Muda sio mrefu msiompenda atakuja.
Wanahesabu kura elfu moja siku nzima wataweza wapi kuhudumia wananchi milioni 60????Naona uchaguzi wa kidemokrasia umekutoa pangoni.
Leo tutakutana Aghakan kuwekewa dripdah iwe hvo aisee
Hatutaki figisu sisi. Ccm wala huwa hakunaga uchaguzi na uhesabuji wa kura.Wanahesabu kura elfu moja siku nzima wataweza wapi kuhudumia wananchi milioni 60????
Sasa ndio watajua nani alitangulia mjini🤣🤣🤣
Wakome kuzodoa chama kubwa CCM
Upepo hausomeki maana Lema anahesabu kura kama hela vile na kuzifunga mafungu nafungu kama vibunda vya hela.🤣🤣
Ila mkao wa Boniyai kwenye kitu ni kama wakukata tamaa hivi unafanya mashabiki wahizi kama vile team Machame inaona kuna dalili mbaya.
Lala uamke upya.Habari zenu wanaJF wenzangu
Wakuu kwa nilichodokezwa na mtu wa ndani ya mfumo wa chama, ni kwamba mpaka sasa Mwamba tayar miguu juu ameangukia pua. Hivyo ili yeye aweze kutangazwa mshindi ana vijana wake ambao wanajipanga kupiga bao la mkono na baada ya hapo ndo matokeo yatoke kwamba mwamba ndio mshindi wa uchaguzi huo.
Team mageuzi mjiandae mapema kisaikolojia. Muda sio mrefu msiompenda atakuja.
saa 07:25 ndo zinaanza kuhesabiwa za mbowe,tuko nyumbani lakini tunaona laivu,bony yai akihesabu za mbowe.uko nchi gani mkuu,fungua crown tv,kila kitu kiko live,saa hizi asubuhi wanahesabu za lisu,za mbowe bado,kama alihonga wapiga kura sawa,ila hapa kila kitu kinaenda vizuri na ni mfano mzuri kuigwa na vyama vyote.
Tuna backup generator na solar lights za kutoshaTanesco wanakata umeme dsm ili iweje
Zimefika kahesabu bando la karatasi 51 ndugu MjumbeNimefatilia Lema alivyohesabu hazijafika 510, ameweka kwenye mafungu ya 10 10
Unakadiria ni fungu ngapi?Nimefatilia Lema alivyohesabu hazijafika 510, ameweka kwenye mafungu ya 10 10
Na pembeni kunakaratasi kadhaa ambazo hazikufika 10.alivo maliza kuhesabu Boni hadi kashika kiuno hajaaminiNimefatilia Lema alivyohesabu hazijafika 510, ameweka kwenye mafungu ya 10 10