Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Upepo hausomeki maana Lema anahesabu kura kama hela vile na kuzifunga mafungu mafungu kama vibunda vya hela.🤣🤣DUH mambo yashabadilika tayari nin? ili hosp. nisiende
Ila mkao wa Boniyai kwenye kiti ni kama wakukata tamaa hivi unafanya mashabiki wahisi kama vile team Machame inaona kuna dalili mbaya.