Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Polisi waliomwagwa hapo ni sheeedah
Ila mbowe na ww mtu gani unaongoza chama tangu mimba inatungwa had mtoto anazaliwa had anafikia above 20 upo tu
Mambo mengine ni ya aibu
Mambo ya ajabu kabisa
 
CV ya Lissu ni kubwa sana ktk harakati za upinzani Tanzania. Naweza kusema huwezi kuwataja wapinzani wa CCM bila kumtaja Lissu. Licha ya huvyo Lissu hakumfikia marehemu Seif jinsi ya kuisumbua CCM.
Seif licha ya kutokuwa kiongozi mkuu wa Cuf yaani Mwenyekiti lkn aliitikisha sana CCM hadi kufikia miafaka zaidi ya 3 na hatimae ikaundwa serekali ya kitaifa.
Maalim alianziasha harakati za jino kwa jino lakini pia harakati za maridhiano.
Maalim alifariki akiwa na heshima kubwa ktk siasa za upinzani.
LISSU.
Lissu licha ya kuwa mpinzani lkn mtego aliongia ushammaliza kisiasa. Mtego wa kutaka kuisambaratisha chadema kupitia lema na Heche limemtoa kabisa ktk siasa za chadema.
Tumuombeeni sana Lissu ktk siasa za upinzani. Lilobaki aende CCM akamalizie maisha yake
Lissu nje ya chadema hawezi kuendesha siasa. Siasa za lissu litigemea chadema.
Kwa hivyo za kumuombea lissu baada ya kushindwa ni muhimu
Nadhani unamuongelea Sultani Mbowe
 
Huku kukatika katika kwa umeme mbona ni aibu sana? Kwa diplomatic dignitaries walioko hapo hiyo siyo aibu ya Chadema pekee, ni aibu kwa Taifa. F*cken umeme wa Tanzania!
 
Sote ni mashuhuda kwamba Freeman Aikaeli Mbowe anaungwa mkono na wajumbe wa mkutano mkuu wengi zaidi ya mgombea uenyekiti mwingine yeyote wa chadema, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huu kwa kishindo.

Tayari visingizio kutoka kwa wapambe wa wagombea wanaowafungia wajumbe wao kwenye nyumba za kulala wageni, huku wakikosa kujua ratiba na kinachoendelea kwenye ukumbi wa uchaguzi, wameanza kupiga mayowe ya kushindwa, kanakwamba kuna rafu za uchaguzi hali ya kua wanajitakia wenyewe. Ni vichekesho na makusudi ya kujitakia tu, eti mpaka sasa kuna wajumbe hawajasajiliwa na hawana vitambulisho, wamefungiwa ndani tu.

Prof. Kitila Mkumbo amebainisha wazi kwa umma kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwmba, Freeman Aikaeli Mbowe hawezi kugombea nafasi ya uongozi ambayo hatashinda.

Ni muhimu sana wadau wa JF na wanachadema kwa ujumla, kuzingatia kauli hii ya kitaalamu kutoka kwa mwanafalsafa huyu wa siasa za Tanzania.

Kila la kheri wajumbe,
Kila la kheri Mbowe na Asanti Lisu kwa kushiriki uchaguzi wa chadema ngazi ya taifa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi hapa hutoboi Lissu kakabia juu sana we endelea kuzima umeme tu tutawasha vibatari
 
Kuna vituko Leo hapa Mlimani City Mnyika anatangaza kutumia jenereta hapo hapo umeme unamprove wrong kuwa Luna mzimaji wa umeme somewhere in the Building
Huku kukatika katika kwa umeme mbona ni aibu sana? Kwa diplomatic dignitaries walioko hapo hiyo siyo aibu ya Chadema pekee, ni aibu kwa Taifa. F*cken umeme wa Tanzania!
 
Tukae tusubiri kuona mwisho wa Lucas
Mwambie apunguze kuandika makorokocho yanamharibia sana,ajitahidi ku keep low profile the watamuinua lakini haya masifa anayozidisha na kujifanya mjuaji atasubiri sana. Ajishushaye atainuliwa bali ajikwezaye atashushwa.
 
Utofauti wao mkubwa sana

Lissu kaongea kuomba kuonewa huruma na bado kulalamika


Mbowe yupo vizuri zaidi yake. Nondo Nondo anamwaga
 
Ndugu zangu upande wa wapenda mabadiliko. Sisi ambao tulitamani sana mheshimiwa Lissu ashinde uchaguzi huu. Hatuna namna tena. Tumeshindwa. Iwe kwa rushwa iwe kwa nini lakini hali ni mbaya. Mimi kama mimi sipo tayari kuongozwa nao. Asanteni sana.
 
Polisi waliomwagwa hapo ni sheeedah
Ila mbowe na ww mtu gani unaongoza chama tangu mimba inatungwa had mtoto anazaliwa had anafikia above 20 upo tu
Mambo mengine ni ya aibu
Mbona miccm imeng'ang'ania madaraka muda wote huo haitaki kutoka?
 
Kama Mbowe kashaaamua tangu zamani na anayasema... Nendeni nje ya BOKSI

Haya nyie si nilisema all drama ilikuwa ni script wamepanga wao😂😂😂
 
Unajitekenya 😎😎😎😎😎onesha kwanini "umepigwa"
 
Back
Top Bottom