LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ngoja uone ndugu yako akichinjwa live kama utasema hivyo!

Hii italeta taharuki kwa raia wao kwa maana kila familia ya watu waliyochukuliwa mateka wanafahamu.
Nione mara ngapi broo?
Hadi asaiv nimeona video mbili za hao majamaa wakichinja waisraeli, mmoja alikuwa kijana mwingine alikuwa mtoto.
Watu na imani zao bhana!
 
Wewe myahudi wa iyunga hao waisraeli wenyewe wanampinga christo hapa sasa hivi wanashambulia makanisa yaliyopo gaza
Mkuu Unajua kama huijui BIBLIA vizuri KA KIMYA!!!

Kwa kifupi tu Israeli wanaangukia katika mfano wa Yusuph, YESU akiwa kama Yusuph na nduguze Yusuph wakiwa ndo Hao Israel, alafu Yusuph akaoa mwanamke ambaye si Myahudi, hiyo ni Sisi ambao sio Waisrael, na wanachofanya kumkataa Kristo Iko nje ya uwezo wao ni mpango wa Mungu ... Kitabu Cha Ufunuo wa Yohana kinaelezea vizuri...
 
Sasa kwanini mamluki walikuwa wanajificha kwenye makazi ya watu na maeneo ya shule?? 😂😂
 
Hawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa

Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa

Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki

Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.
 
Yeah ameyumba sana Aisee... Israel tangu ile vita ya Six day haijawai pigwa kiasi hicho huyu jamaa kayumba sana but all in all Israel anashinda vita
Hakuna vita hapo mkuu...Israel kama nchi anapigana na mgambo wa Hamas!!
 
Mimi naona hio itaendeleza chuki mkuu.
Sasa kama watu wamewahi kuuwawa 6 million unafikili hio litawashitua.
Bro! Mimi nawafahamu wayahudi
Awe Ashkenazi, Sephardi, Mizrahi n.k

Wayahudi wanaogopa sana kufa! Wayahudi ni jamii ambayo si wapiganaji wa kufa kujitolea. Ni waoga!

Wakianza kuchinjwa wakifika 20 au 30 raia wao watashinikiza wafanye mazungumzo.
 
Hawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa

Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa

Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki

Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.
 
Bro! Mimi nawafahamu wayahudi
Awe Ashkenazi, Sephardi, Mizrahi n.k

Wayahudi wanaogopa sana kufa! Wayahudi ni jamii ambayo si wapiganaji wa kufa kujitolea. Ni waoga!

Wakianza kuchinjwa wakifika 20 au 30 raia wao watashinikiza wafanye mazungumzo.
Kumbe umeishi nao mkuu
 
BREAKING: Hamas is willing to discuss a possible ceasefire with Israel.
 
Mkuu maana hatujui nao wanataka nini Israel isije kuwa wakafanya kama KAGAME ALIVYOFANYA 1994 HUKO RWANDA maana wale nao wayahudi weusi.

Isije wakawa sacrifice hao wachache ili kuuwa wapalestina wengi kama alivyo fanya PAKAME RWANDA.
Hawawezi kufanya hivyo!

Israel akijaribu kutaka kuwafuta kabisa mashariki ya kati yote itachafuka! Utamuona Marekani atakapoanza kuhaha! Na wao wenyewe wanajua wakijaribu kufanya hivyo patachafuka kweli!

Watutsi si wayahudi. Ni ujinga tu umewajaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…