ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Kama Ukraine ilivyo kuwa inaficha silaha kwenye shule na supermarket alafu Urusi ikishambulia ww unakuja kubwabwaja humu kuwa Urusi haijui kupigana zaidi ya kuharibu miji.Watafyatua maroketi kisha wajifiche kwenye shule, zikishambuliwa watatoka walalamike Israel inashambulia shule
Ww jamaa una kiwango kukubwa cha unafiki.