Kama Ukraine ilivyo kuwa inaficha silaha kwenye shule na supermarket alafu Urusi ikishambulia ww unakuja kubwabwaja humu kuwa Urusi haijui kupigana zaidi ya kuharibu miji.Watafyatua maroketi kisha wajifiche kwenye shule, zikishambuliwa watatoka walalamike Israel inashambulia shule
Hamas ni walebanon na hapo lebanon takwimu uislam na ukristo ni 50-50,ukanda ule hamna vita ya kidini ni vita kati ya waarabu na wayahudi maana hata wapalestina 30% ni christian na ndio wanaendesha makanisa ya jerusalem wanayohiji wakristo wa dunia nzimaHao Harmas ndo wapelestina ?Hii historia ya Palestine na Israel inasikitisha.Si wanashare nchi moja.Waishi kwa amani jamani.
Muisrael kutoka Kimara Bunyokwa!Naomba Wana Israel Kwa pamoja ,tuwaombee wenzetu wa Israel.
Hawa wapuuzi wachapwe kisawasawa
Umeandika Maroketi 2112 yamedunguliwa bado unauliza uimara wa iron dome?Leo jumamosi asubuhi imeripotiwa kuwa Hamas wamerusha maroketi ya masafa marefu takriban 5000 ndani ya Central Jerusalem,maroketi 2112 tu ndiyo yaliyoweza kudunguliwa na mfumo wa anga wa Iron dome makombora 2888 yaliyosalia yamepenya na kuua watu takriban watano na kujeruhi takriban mamia ya waisraeli.
Eneo lililoathirika zaidi ni Ashkelon la Central Jerusalem.
Pia yasemekana kuna mateka takriban 35 ikiwemo wanajeshi walinda mpaka wa Israel na Gaza wameshikiliwa mateka na Hamas.
UIMARA WA IRON DOME UKO WAPI???
View: https://youtu.be/ob0tpMmT6fs?si=4zbw8IXZBRPj1HXZ
Aya ngoja tuone kaka maana nipo aljazeera hapa natizama na baadhi ya waandishi wa habari wanasema maroketi yanayopenya ni mengi kuliko yanayozuiliwa.Uimara upo,yapo mengi waliyoyazuia pia hebu tuone yanayojiri Siti ya mbele.
Maroketi kaka sio makombora.Umeandika Makombora 2112 yamedunguliwa bado unauliza uimara wa iron dome?
Amani ilitoweka Esau na Yakobo walivyoanza kuvutana nani atangulie wakati wanazaliwa. πππHao Harmas ndo wapelestina ?Hii historia ya Palestine na Israel inasikitisha.Si wanashare nchi moja.Waishi kwa amani jamani.
Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.Mimi ni mkristo lakini naona Israel ni taifa la kishetani,taifa la kigaidi kwa sababu ya kuwatesa wapalestina.wapalestina wameamua kukataa unyanyasaji wa waisraeli.mtu mwenye akili timamu hawezi kusapoti Israel.Alafu Israel bila msaada wa NATO ni wakavu tu.they are overrated.
Kaka nakandamiza hapo hapo hoja yako.Mimi ni mkristo lakini naona Israel ni taifa la kishetani,taifa la kigaidi kwa sababu ya kuwatesa wapalestina.wapalestina wameamua kukataa unyanyasaji wa waisraeli.mtu mwenye akili timamu hawezi kusapoti Israel.Alafu Israel bila msaada wa NATO ni wakavu tu.they are overrated.