LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Yani hapo wakuteseka sio mda ni raia wa palestina kwa ujinga wa Hamas jamaa wataharibu Kila kitu. Hapo akina George soros wanaona na kufadhili hii vita
 
Hii ilikuwa ya mwisho,Hamas hawatakuja tena kufanya ugaidi maana hawatakuwepo kabisa kuazia leo
Ww jamaa buana hivi unadhani vita ni rahisi kiasi hicho?
Ebu uliza watu kilicho ikuta Israel mwaka 2014 baada ya kuivamia gaza kwa lengo la kuiangamiza Hamas.
 
Yani hapo wakuteseka sio mda ni raia wa palestina kwa ujinga wa Hamas jamaa wataharibu Kila kitu. Hapo akina George soros wanaona na kufadhili hii vita
Tayar naona raia wa Palestine hasa kina mama na watoto wanakimbia makazi Yao maana wanajua kinachofuata ni nini.
 
Hawa Hamas mbona wajinga sana, hawasomi Biblia agano la kale wakaona Israel sio watu wa kutingishiwa kiberiti. Sasa tuweke macho tuone nani atakubali hatari ya kuwasaidia.
Hamna! Nature ya muisrael ni mwoga!

Muisrael vita haiwezi! Ukitaka uone watakavyosumbuka Hamas wapigane mijini ndani ya miji yao kama Ukraine na Russia! Watakimbia!

Ila sijui nao Hamas wamejiamini kwa lipi kufanya hivi? Nguvu yao naiona ni ndogo sana kwa Israel.
 
Sasa si umesema Israel ni muoga na wao wameliona hilo?
Tusubiri Israel achakazwe
 
Vita yeyote ni ngumu awe mchina mmarekani mrussi vita ya ground tofauti na kwenye Tv, Hamas watasababisha raia wapate tabu zaidi
 
Wamepewa chai 😂😂😆

Hamas bwana wameona Dunia imepua wameamua kukiwasha tena huko na Sasa tutarajie mauaji ya zaidi ya Wapalestina Buku Hadi buku 2 wakati Kafiri Akilipiza Kisasi 🤪🤪
 
Kuidhibiti gaza hawa taweza maana walisha jaribu mwaka 2014 waka shindwa vibaya sana.
Kuhusu wahanga raia wa palestina wamekuwa wahanga bila kujali kwa makumi ya miaka bila kujali wanapigana au hawapigani.
 
Ww jamaa buana hivi unadhani vita ni rahisi kiasi hicho?
Ebu uliza watu kilicho ikuta Israel mwaka 2014 baada ya kuivamia gaza kwa lengo la kuiangamiza Hamas.
Tusishangaane kila mtu aandike maoni yake
 
Hamna mkristo anayo itetea Israel,halafu huu mgogoro sio wakidini kabisa,hebu fuatilieni historia yake,huu ni mgogoro wa watu wanaogombania ardhi yao.

Kwa taatifa yako Israel waislam ni wengi kuliko wakristo na wakristo palestina wapo kibao na wengine wapo kwenye hilo viguvugu la hao Hamas na Waislam kutoka Israel wanatumika sana kuspy nchi za Kiarab.

Nyerere,Kwame Nkurumah,Mandela,Mashele nk hawa wakristo ila walikataa kulitambua taifa la Israel.

Husichanganye kabisa,huu mgogoro wa kulaumiwa ni UK na UN.
 
Waachieni Israel mji wao kwakweli , Jerusalem tunaijua yangu kale Ni ya wayahudi , inakuwaje Leo wapalestina wanasema Ni Yao? Ina maana wakina mfalme Daudi na kina Suleiman waliiosimamisha ngome kubwa Jerusalem walikuwa wapalestina? Tuache ujinga na wapalestina waache ujinga
 
Kasome tena historia umedanganywa,kabla ya vita ya kwanza ya dunia kulikuwa hamna taifa la Israel,kipindi kile wazungu wanagawana makoloni yao,UK aliamua kuigawa ardhi ya Palestina kwa Waisrael,nchi nyingi zililalamikia hili baadae UK akaona aibu akaamua kupunguza kumuunga mkono. Baada ya hapo Israel akawa anajiongezea ardhi ya Palestina atakavyo na baada ya vita ya dunia UN wakalazimisha mataifa mengine kuitambua Israel kama taifa kamili.

Nchi nyingi zilikataa mpaka Nyerere na wanaharakati wote wa Afrika walikaaa hili na ndio maana Nyerere mpaka anaondoka madarakani Israel hakuwa na ubalaozi Tz na nchi nyingine za Africa.

Ndio maana mpaka kesho nchi zote za Afrika zilikuwa zinamtambua Yassir Arafat kama Mwanaharakati na mpigania uhuru mwenzao na sio gaidi kama waiminivyo nchi za magharibi.

Catholics hausiki kabisa katika vita ya Israel na Palestina, wahusika wakuu ni UK ,UN na sasa hivi US ndio anawapa support sana Israel.
 
Mm Kuna Mda najiuliza Hawa ndugu zetu Mungu gani wanamwabudu ambaye hajui utu pamoja na Amani?? Kuna video naiona wanaua raia wasiokua na hatia na kuwatesa Huku walisema Allah Akibhar sjui kwann wanafanya.
Anyway watakacho enda kukutana nacho watajuta maisha yote. Maana Mungu aliapa Kuwa Kamwe Israel hakuna Taifa litakalo kuja kuinyanyasa akasema nitambariki yule atakae kubariki, nitamlaani yule atakae kulaani.

#westandwithIsrael
#PrayforIsrael🙏🙏🙏
#GodblessIsrael🙏
 
Tayar naona raia wa Palestine hasa kina mama na watoto wanakimbia makazi Yao maana wanajua kinachofuata ni nini.
Sasa wanakimbilia baharini?
Sijui kama Israel itawapokea kwa hofu ya magaidi kujipenyeza
 
Unaandika kwa Mahaba ya Kiisraeli Israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…