Ni askari wa Israel huyu aliyesema Yaa Ikh-waan haram?!
View: https://youtu.be/FXsubox-woA?si=T_SJVCbI8oluxKcd
Israel hana ubavu wa kupigana vita kazowea kutumia ndege tu kama kichaa mrusha mawe
Saudia alishakuwa compromised na USA.Iran atawatetea Palestina japo indirectly.
Ila Saudi Arabia shostito tu mnafiki hana atachofanya.
Ww jamaa buana hivi unadhani vita ni rahisi kiasi hicho?Hii ilikuwa ya mwisho,Hamas hawatakuja tena kufanya ugaidi maana hawatakuwepo kabisa kuazia leo
Tayar naona raia wa Palestine hasa kina mama na watoto wanakimbia makazi Yao maana wanajua kinachofuata ni nini.Yani hapo wakuteseka sio mda ni raia wa palestina kwa ujinga wa Hamas jamaa wataharibu Kila kitu. Hapo akina George soros wanaona na kufadhili hii vita
Hamna! Nature ya muisrael ni mwoga!Hawa Hamas mbona wajinga sana, hawasomi Biblia agano la kale wakaona Israel sio watu wa kutingishiwa kiberiti. Sasa tuweke macho tuone nani atakubali hatari ya kuwasaidia.
Sasa si umesema Israel ni muoga na wao wameliona hilo?Hamna! Nature ya muisrael ni mwoga!
Muisrael vita haiwezi! Ukitaka uone watakavyosumbuka Hamas wapigane mijini ndani ya miji yao kama Ukraine na Russia! Watakimbia!
Ila sijui nao Hamas wamejiamini kwa lipi kufanya hivi? Nguvu yao naiona ni ndogo sana kwa Israel.
Vita yeyote ni ngumu awe mchina mmarekani mrussi vita ya ground tofauti na kwenye Tv, Hamas watasababisha raia wapate tabu zaidiHamna! Nature ya muisrael ni mwoga!
Muisrael vita haiwezi! Ukitaka uone watakavyosumbuka Hamas wapigane mijini ndani ya miji yao kama Ukraine na Russia! Watakimbia!
Ila sijui nao Hamas wamejiamini kwa lipi kufanya hivi? Nguvu yao naiona ni ndogo sana kwa Israel.
Wamepewa chai 😂😂😆Ukanda wa Gaza: Makumi ya roketi yarushwa kuelekea Israeli
Makumi ya roketi yamerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel Jumamosi asubuhi, Oktoba 7, na kusitisha makubaliano ya usitishwaji mapigano yaliyoheshimishwa kwa ujumla tangu kumalizika kwa vita vya siku tano mwezi Mei. Tawi la kijeshi la Hamas limetangaza kuwa limeanzisha operesheni iitwayo "Mafuriko ya Al-Aqsa" dhidi ya Israel.
Ufyatulianaji wa risasi, kuanzia maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza, ulianza kabla ya 6:30 asubuhi saa za Mashariki ya Kati na kuendelea karibu dakika arobaini na tano baadaye.
Nchini Israeli, ving'ora vya onyo vimesikika katika miji kadhaa karibu na Palestina, pia huko Jerusalemu lakini pia ndani zaidi katika eneo hilo, kaskazini na mashariki, kulingana na jeshi.
Roketi imeanguka kwenye mji wa Yavne, kusini mwa Tel Aviv, ambapo mtu mmoja amejeruhiwa kidogo, kulingana na Magen David Adom, sawa na shirika la Msalaba Mwekundu nchini Israel. Mwanamke mwenye umri wa miaka sitini ameuawa "kwa pigo la moja kwa moja", na watu wengine 15 wamejeruhiwa kusini mwa Israeli, linasema shirika la Magen David Adom.
Jeshi la Israel limeripoti kupenya kwa "idadi isiyojulikana ya magaidi" kwenye ardhi ya Israel kutoka Ukanda wa Gaza. "Wakazi katika maeneo jirani ya Ukanda wa Gaza wametakiwa kusalia nyumbani," jeshi limeongeza.
Mwezi Mei, Israel ilianzisha mashambulizi dhidi ya Islamic Jihad ya Palestina katika Ukanda wa Gaza, na kusababisha vita vya siku tano kati ya jeshi la Israel, Islamic Jihad na makundi mengine yenye silaha katika eneo hilo, na kugharimu maisha ya Wapalestina 34 na mwanamke mmoja wa Israel.
Zaidi ya roketi elfu moja zimerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel, nyingi zikiwa zimenaswa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel. Israel kwa upande wake ilikuwa imeongeza mashambulizi ya anga katika eneo hilo dogo.
Hamas, ambayo ilichukua mamlaka huko Gaza mwaka 2007, ilikuwa imejitenga na mzozo huu.
Imechapishwa: 07/10/2023 - 08:13 Na:RFI
View attachment 2774147
Kuidhibiti gaza hawa taweza maana walisha jaribu mwaka 2014 waka shindwa vibaya sana.Netanyahu: 'We are at war and we will win'
Israeli Prime Minister Netanyahu has just released a statement, saying that "we are at war and we will win".
In a statement released on his social media channels, he said Hamas would "pay a price the type of which it has never known".
The Israeli Defence Forces (IDF) are fighting Hamas in a number of locations, with an unknown number of casualties.
===========================
Mwishowe Israel itajibu kwa nguvu kubwa na atadhibiti maeneo mengi zaidi ya Wapalestina, hata Gaza huenda ikarudi kwenye udhibiti wa Israel........ardhi kubwa zaid ya Wapalestina itakaliwa na Israel kimabavu.
Raia wa kawaida wa Wapalestina wataishia kuwa wahanga wa huu uhuni uliofanywa na Hamas.
Israel-Gaza latest: Hamas fighters on the ground after '5,000 rockets' fired; 'We are at war', says Netanyahu
Tusishangaane kila mtu aandike maoni yakeWw jamaa buana hivi unadhani vita ni rahisi kiasi hicho?
Ebu uliza watu kilicho ikuta Israel mwaka 2014 baada ya kuivamia gaza kwa lengo la kuiangamiza Hamas.
Hamna mkristo anayo itetea Israel,halafu huu mgogoro sio wakidini kabisa,hebu fuatilieni historia yake,huu ni mgogoro wa watu wanaogombania ardhi yao.Siku mbili zilizopita kilitokea na shambulio la Orthodox Jews kutemea mate wakristo katika lango la kabisa huko East Jerusalem.
Cha kujiuliza wakristo huwa mnajinasibisha na Hawa wayahudi mkisema ndugu zenu,je ndugu yako wa Imani anaweza temea mate lango la kuingia nyumba yako ya Ibada??!!
Hapo hapo ikumbukwe muandishi wa habari wa aljazeera Sherin Abu Akleh ni mkatoliki na alipigwa risasi mwaka jana kama sikosei na IDF.
View: https://youtu.be/qhWoKZl_CEA?si=gog-TETIuNIFV25_
Niliwahi kusisitiza humu kuwa waisraeli wao wanajijali wenyewe na hawautambui ukristo wala Yesu Kristo na jambo linalotokea katika nyanda yao sio jambo la kidini kati ya uislam na ukristo bali ni udhulumati kukandamiza wapalestina waislamu na wakristo kiujumla.
Ww ingia mitandaoni tu utafute operation ya Israel mwaka 2014 dhidi ya gaza.Tuambie wewe nini kilitokea
Kasome tena historia umedanganywa,kabla ya vita ya kwanza ya dunia kulikuwa hamna taifa la Israel,kipindi kile wazungu wanagawana makoloni yao,UK aliamua kuigawa ardhi ya Palestina kwa Waisrael,nchi nyingi zililalamikia hili baadae UK akaona aibu akaamua kupunguza kumuunga mkono. Baada ya hapo Israel akawa anajiongezea ardhi ya Palestina atakavyo na baada ya vita ya dunia UN wakalazimisha mataifa mengine kuitambua Israel kama taifa kamili.Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.
Kabla ya vita ya pili ya Dunia, Hakukuwepi na wadudu wanaoitwa wapalestina.
Vita ya Pili ya Dunia, ambayo Hitler na wapuuzi wa Catholics Kwa lengo la kuwaondoa Waisrael, walifanikiwa kuwaondoa Waisrael wote katika Ardhi Yao , wakakimbikia mataifa mbalimbali.
Kuondoka kwao pale kwenye Ardhi Yao, kukatoa nafasi ya Jesuits wa Rumi, kupeleka wahamiaji kwenye Ardhi hiyo...wahamiaji hao ndo Leo wanaitwa wapalestina.
Baada ya Vita ya Pili, Waisrael wakajikisanya ili waanze kurudi kwenye Mother land Yao.
Ndipo walipokuta Kuna wahamiaji , na Vita ikaanzia hapo.
Mpaka Leo !!!!
Hii nukuu nimewahi kuikuta kwenye riwaya ya kimafia ya the godfather. Ni noma asee. Kwamba raha ya kulipiza kisasi ni pale adui yako kajisahaulisha na wewe unapiga in one single blow.REVENGE IS A DISH, BEST SERVED COLD.
Sasa wanakimbilia baharini?Tayar naona raia wa Palestine hasa kina mama na watoto wanakimbia makazi Yao maana wanajua kinachofuata ni nini.
Saizi wamejipanga mtanyolewa kama.mlivyonyolewa huko mnakolia Lia 🤣🤣Swala kamchokoza Simba mwenye njaa 😄😄
Unaandika kwa Mahaba ya Kiisraeli Israel.Netanyahu: 'We are at war and we will win'
Israeli Prime Minister Netanyahu has just released a statement, saying that "we are at war and we will win".
In a statement released on his social media channels, he said Hamas would "pay a price the type of which it has never known".
The Israeli Defence Forces (IDF) are fighting Hamas in a number of locations, with an unknown number of casualties.
===========================
Mwishowe Israel itajibu kwa nguvu kubwa na atadhibiti maeneo mengi zaidi ya Wapalestina, hata Gaza huenda ikarudi kwenye udhibiti wa Israel........ardhi kubwa zaid ya Wapalestina itakaliwa na Israel kimabavu.
Raia wa kawaida wa Wapalestina wataishia kuwa wahanga wa huu uhuni uliofanywa na Hamas.
Israel-Gaza latest: Hamas fighters on the ground after '5,000 rockets' fired; 'We are at war', says Netanyahu