Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaogopa sana kitakachofuatia 😂😂🔥Ningeshangaa uzi kukimbia maelfu ya miles bila comment yako, kumbe lilikuwa swala la muda tu 😁
watalia mara ngapi wapalestina beberu mwoga, kila siku idf wanafanya uhuni dhidi ya wapelistina surprise ya leo imewanyosha, wao ndio wanalia wewe mara ya mwisho lini uliona vita inapigwa ndani ya israeli leo wamepelekewa moto wa mundendeKitakachowakuta wapalestina this time watalia
Thubutuuu.....Huku ndio pakupeleka wanajeshi kupata uzoefu
Acha abondwe kazidi ubabeIsrael hii issue kashtukizwa vibaya sana!
Ilo sikatai Mkuu lakini mambo Kama haya nikutumia pia akili na sio hisia, mossad sio wamchezo Kama unavyodhania, Kuna kipindi Hamas walikua wanatengeneza tunnel kuelekea Israeli Tena kwa Siri kabisa bila kushitukiwa lakin walipokua wanaelekea kwenye hatua ya mwisho wakawa detected.Lakini tusisahau kwamba hata bingwa kuna wakati hufika nae akawa mshindani.
Huwezi ukawa kila siku unaongoza wewe tu ipo namna mistakes zinatokea wao nao ni watu.