LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
kama hamas anaweka raia mbele kama shield na anakurushia roketi kwa watoto wako utaendelea kuacha tu usipige palepale ufe wewe watoto wa mwenzako wapone? kwa akili ya kawaida tu.
Kwa hiyo kitendo cha Hamas kuishambulia Israel huku wakijificha kwenye makazi ya raia, ndiyo kinaipa haki ya kuua raia wasio na hatia!!! Ok.
 
Huwa wanajikomba ila ni watumwa wa waarabu.
Mwafrika muislamu ni mtumwa na haistahili maisha mazuri
Mtumwa anatakiwa ajengewe - - msikiti
  • Apewe Quran
  • Apewe tende
  • Apewe maji ya zamzam.
Ushasikia mwaarabu anawajengea shule, vyuo au hospitali waislamu weusi?
😂😂😂Ndo apo...yaani Africa wanakufa watu kibao ila muarabu akifa ndo allah wakbar nyingi
 
Kwa hiyo kitendo cha Hamas kuishambulia Israel huku wakijificha kwenye makazi ya raia, ndiyo kinaipa haki ya kuua raia wasio na hatia!!! Ok.
ndio. jambazi akichukua katoto akaweka mbele yake, akawa anarusha risasi kukuelekea wewe na watoto wako, utaacha kurusha risasi upande wake kisa unaogopa kuua kale katoto, kwahiyo usirushe ili ufe wewe na watoto wako jambazi na katoto wapone? hizo ndio zinaitwa collaterals za kivita, kwenye vita za mitaani (sio porini) huwezi kukosa mauaji ya raia, hata wakienda mahakama kivita israel ana utetezi kabisa kwasababu hamas wanatumai raia kama shield na wakati huohuo wanarusha rocket kuelekea kwa raia wa israel, israel amewaambia raia waondoke raia wamekataa wameamua kutumiwa na hamas kama shielf. kile kitendo cha kutoa wito wahame na kitendo cha hamas kuendelea kurusha roketi na kitendo cha kutumia human shield ni defence tosha kwa israel hata wakishitakiwa.
 
Hii imenifanya Nicheke sana Marekani Hajawahi Kwenda Kupigana bila Mbwa wake nyuma yaani yeye kama yeye Mtu mmoja Hana ubavu huo

USA never goes to a party without friends, because the fear of getting knocked out is real

Along with American warships, NATO also sent its own toys for Gaza
 
Hii imenifanya Nicheke sana Marekani Hajawahi Kwenda Kupigana bila Mbwa wake nyuma yaani yeye kama yeye Mtu mmoja Hana ubavu huo

USA never goes to a party without friends, because the fear of getting knocked out is real

Along with American warships, NATO also sent its own toys for Gaza
Toka lini boss akajichafua. Na US sio boya anawanyooshaga kina iraq alipigana mwenyewe au
 
Uungaji mkono dunia nzima kwa Palestina wafikia asilimia 78 rekodi ambayo haijawahi kufikiwa

Uungaji wa Palestine umepanda kutoka asilimia 40% pekee dunia nzima kwa mwaka 2014 hadi asilimia 78 kwa mwaka huu.

Ni kutokana na wengi kuujuwa Ukweli na kuujua uhalisia wa uzayuni na uwongo na propaganda nyingi waliolishwa na vyombo vya habari kwa miaka karibia 70!!

Uungaji mkono kwa Israel unazidi kupungua siku hadi siku mathalani, huku Africa wanaoiunga mkono Israel wengi wao ni watu waliokosa shule kichwani mwao na ambao wengi hawajaelimika na wasiokua na uelewa

Jambo lingine ni kuwa Uungaji mkono huu umepanda baada ya kugundua habari nyingi zilizotoka Israel ni za uwongo,propaganda na uzushi mfano sakata la kudai Hamas waliwachinja watoto 40 lilikua la Uongo

Sakata la Hamas kuua watu wasiokua na hatia kwa namba walizotoa Israel zilikua ni data za kupika.

Kwa mujibu wa takwimu za Israel hadi sasa watoto wachanga na wadogo wa kiisrael umri kuanzia 0 hadi 5 (0-5) waliouawa na Hamas ni zero case yaani hakuna kabisa.

Hii imepelekea Dunia kuujua ukweli,mfano wale waliosimama na Israel october 7 sasa wengi wao wamebadili mawazo baada ya kuujua ukweliView attachment 2795900
Hiyo picha vipi!??
 
Uungaji mkono dunia nzima kwa Palestina wafikia asilimia 78 rekodi ambayo haijawahi kufikiwa

Uungaji wa Palestine umepanda kutoka asilimia 40% pekee dunia nzima kwa mwaka 2014 hadi asilimia 78 kwa mwaka huu.

Ni kutokana na wengi kuujuwa Ukweli na kuujua uhalisia wa uzayuni na uwongo na propaganda nyingi waliolishwa na vyombo vya habari kwa miaka karibia 70!!

Uungaji mkono kwa Israel unazidi kupungua siku hadi siku mathalani, huku Africa wanaoiunga mkono Israel wengi wao ni watu waliokosa shule kichwani mwao na ambao wengi hawajaelimika na wasiokua na uelewa

Jambo lingine ni kuwa Uungaji mkono huu umepanda baada ya kugundua habari nyingi zilizotoka Israel ni za uwongo,propaganda na uzushi mfano sakata la kudai Hamas waliwachinja watoto 40 lilikua la Uongo

Sakata la Hamas kuua watu wasiokua na hatia kwa namba walizotoa Israel zilikua ni data za kupika.

Kwa mujibu wa takwimu za Israel hadi sasa watoto wachanga na wadogo wa kiisrael umri kuanzia 0 hadi 5 (0-5) waliouawa na Hamas ni zero case yaani hakuna kabisa.

Hii imepelekea Dunia kuujua ukweli,mfano wale waliosimama na Israel october 7 sasa wengi wao wamebadili mawazo baada ya kuujua ukweliView attachment 2795900
Wengi wa hao ni immigrant ambo ni wafanya fujo kwenye nchi za watu anyway Afrika hayo mambo ya middle east hayatuhusu tunashobokea sana dundo wakati kongo,sudan, somalia na afrika ya kati namba ya watu wanaokufa ni kubwa kuliko middle east, ni upumbafu kuwa na shobo kwa watu wasiotaka kushobokewa
 
Mpaka waseme

BREAKING: Netanyahu told families of the hostages that 'the key is the level of pressure', and that the 'greater the pressure [on Hamas], the greater the chances of freeing the hostages'.
 
BREAKING: Hamas-run government office in Gaza says it is 'shameful that Israeli flags continue to fly' over embassies in Arab capitals
 
Ila kichapo walichokula sijui kama watakuja rudia tena 😄
 
Sasa mbona majirani zao waarabu wanawakataa hao wapalestina? Wanaungwaje mkono sasa?

Mfano ilipozuka vita vya Ukraine mataifa mengi yaliwapokea wa ukraine na kuwapa hifadhi ila kwa Palestina hakuna anaetaka kuwapokea. Wanaungwaje mkono kwa hiyo 78%
 
Kwani ulaya hakuna waislamu. Una uhakika gani wao wanao andamana ni wakristo pekee bila ya kuwepo waislamu?? Waislamu wametapakaa Dunia nzima. Mnaweza kuingamiza palestine lakini kamwe hamuwezi kuingamiza uislam
wewe hamas kweli wewe, kwahiyo lile kundi lote ni waislam wanaoishi ulaya? mbona mnapenda kujifariji sana, na kwanini mnakuwa wabaguzi halafu mkipata matatizo mnapenda tushirikiane maumivu? hangaikeni na hali zenu na kwa hamas hapo hamjasema, mtachapwa hadi mseme. ama la mwiteni mungu wenu ashuke awasaidie, kama ni wa kweli.
 
Back
Top Bottom