LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
MARALIA KWELI UNAUMWA MARALIA 🤣🤣😂😂
KILA SIKU UZI ZA KUJIFARIJI KWA AIBU 🤣🤣🤣😂😂
AFU HABARI ZAKO SIZIONI AL JAZEERA NA TV IMAN NA AL ARABIYA...
Huyu Malaria 2 na Bwana Utam na genge lao wote ni wana hamas tawi moja lakini cha ajabu taarifa zao zinakinzana sana. Kwa mfano;

Malaria ataleta habari kwamba hamas wamesema hawatoi mateka mpaka israel wasitishe vita mazima (kwamba vita iishie hapo).

Hapo hapo bwana utam nae atakuja kuwaambia kwamba hamas wamesema hakuna vita kusimama mpaka kieleweke.

FaizaFoxy nae atawaletea wanachama taarifa kwamba vita vimeisha hamas wameshinda vita na wamepata ushindi mnono.

Yani ni vurugu tupu, wangekuwa na mtoa taarifa mmoja wa hamas tawi la Tanzania kuliko hivi kila mwana hamas ni mtoa taarifa wanawachanganya wanachama wao.
 
Huyu Malaria 2 na Bwana Utam na genge lao wote ni wana hamas tawi moja lakini cha ajabu taarifa zao zinakinzana sana. Kwa mfano;

Malaria ataleta habari kwamba hamas wamesema hawatoi mateka mpaka israel wasitishe vita mazima (kwamba vita iishie hapo).

Hapo hapo bwana utam nae atakuja kuwaambia kwamba hamas wamesema hakuna vita kusimama mpaka kieleweke.

FaizaFoxy nae atawaletea wanachama taarifa kwamba vita vimeisha hamas wameshinda vita na wamepata ushindi mnono.

Yani ni vurugu tupu, wangekuwa na mtoa taarifa mmoja wa hamas tawi la Tanzania kuliko hivi kila mwana hamas ni mtoa taarifa wanawachanganya wanachama wao.
Usinilishe maneno kijana mimi sijaleta taarifa nimenukuu taarifa
Nanukuu nikutoka kwa msemaji kama sijakosea wa hamas aliepo lebanon
Alichosema ndio nlichokisema nakinukuu
Kasema kwamba wapo tayari kupigana mpaka tone la mwisho ila suala la kusitishwa vita kwao ili waregeshe mateka halipo
Kama israhell wanataka vita isitishwe basi iwe yakudumu sio week halaf waendelee
Kama hawataki basi waendelee kupigana maana wamesema wanauwezo wakupigana kwamuda mrefu bado
Haya leta sehem nloleta taarifa ambayo inakinzana na hiki nlichokiandika hapa
Msimamo wa hamas waendelee na vita mpaka mwisho ama kama kuna kusitisha visitishwe mazima
Kwahio mpira upo kwenu mtachagua mnauwezo gani
 
Wanaukumbi.

TULIJARIBU KUWAWEKA HAI”

"LAKINI NETANYAHU AKASISITIZA KUWAUA”

Baada ya kuwaua kwenye taarifa yao walisema kuwa wameokota maiti zao Gaza, hawakujua kama Hamas walikuwa wanachukuwa video wakati wanawaua.

Hawa mateka walikuwa na Hamas baada ya kuona hawawwzi kutembea nao huku wanapigana wakawambia kutokana na mapigano wajisalimishe wasije kupoteza maisha.

Hamas wakawapa vitambaa vyeupe na wakambia wanyanyue mikono juu waelekee kwa majeshi ya Israel hatua kadhaa tu walipigwa risasi wote baada ya Hamas kuonyesha video ndiyo wakasema wamewapiga risasi kwa bahati mbaya.

BRIGADES YA QASSAM YANASEMA MATEKA WAWILI WA ISRAELI WALIOUAWA NI RAIA WA UFARANSA NA ARGENTINIA.

Israel wanaficha hii habari kuna mengi tutafahamu huko mbele.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    7.5 MB
Mimi nafikiri tungeacha kuandika sasa na badala yake tubakie kuwa watazamaji tu tukishuhudia mpambano wa wababe wawili kati ya Hamas vs Israel.

Tusitetee popote tusubiri mshindi. Nadhani ni muda pia kwa UN kunyamaza na kuacha kila upande upigane kwa kadiri unavyoweza, uliiweza kuuwa vichanga vya Israel uwa na ukiweza kuuwa watoto wa Palestina ua tumachotaka ni ukifika January 2024 upande mmoja uwe umekwisha na vita kuisha
 
Wanaukumbi.

TULIJARIBU KUWAWEKA HAI”

"LAKINI NETANYAHU AKASISITIZA KUWAUA”

Baada ya kuwaua kwenye taarifa yao walisema kuwa wameokota maiti zao Gaza, hawakujua kama Hamas walikuwa wanachukuwa video wakati wanawaua.

Hawa mateka walikuwa na Hamas baada ya kuona hawawwzi kutembea nao huku wanapigana wakawambia kutokana na mapigano wajisalimishe wasije kupoteza maisha.

Hamas wakawapa vitambaa vyeupe na wakambia wanyanyue mikono juu waelekee kwa majeshi ya Israel hatua kadhaa tu walipigwa risasi wote baada ya Hamas kuonyesha video ndiyo wakasema wamewapiga risasi kwa bahati mbaya.

BRIGADES YA QASSAM YANASEMA MATEKA WAWILI WA ISRAELI WALIOUAWA NI RAIA WA UFARANSA NA ARGENTINIA.

Israel wanaficha hii habari kuna mengi tutafahamu huko mbele.

HAO MATEKA WALIFIKAJE HUKO GAZA?
 
Juhudi hizi ungezielekeza kwenye uchumi wa nchi ingekua bora zaidi, Ile vita sisi haituhusu!!,mashirika mengi ya meli kwa sasa yanapitisha meli zao thr Cape of Goodhope, je sisi tumejiandaa kuzihudumia hizi meli ili nchi iingize usd?,au ndio kulalama ya Hamas vs Israel
 
Juhudi hizi ungezielekeza kwenye uchumi wa nchi ingekua bora zaidi, Ile vita sisi haituhusu!!,mashirika mengi ya meli kwa sasa yanapitisha meli zao thr Cape of Goodhope, je sisi tumejiandaa kuzihudumia hizi meli ili nchi iingize usd?,au ndio kulalama ya Hamas vs Israel
Ulivyokuwa punguani upo JF kupangia watu cha kuandika JF ni jukwa huru usiwe na tabia za kishoga kama haupenda post zangu kaaa mbali nazo shoga wewe
 
akuna mwana Hamas yeyote aliyepigwa m
Hao Hamas kipindi sio kirefu hilo jina wataogopa hata kutamka maana malengo ni kupiga mpaka wachakae na wanapigwa vilivyo,hawatarudia kuchokoza taifa la Mungu

Hao Hamas kipindi sio kirefu hilo jina wataogopa hata kutamka maana malengo ni kupiga mpaka wachakae na wanapigwa vilivyo,hawatarudia kuchokoza taifa la Mungu
lkn tukubaliane moja...hakuna mwana Hamas yeyote aliyepigwa mpk sasa
 
Nilipojua amani ni Bora kuliko ushindi,nikawapa ushindi nikabaki na amani.

Waisrael wanyooshe TU mikono juu kuwa wamepigika.
waache wamsikilize netanyahu tu,wataisha km nailoni kwenye moto waarabu kwao kufa ni kama sunna,kinachosikitisha wengi wao ni vijana wadogo kwanini wasikimbie!!!
hata mimi ningekimbia siwezi pigana na mtu nisiyejua yu wapi yaani haonekani,maandaki tumeyapata lkn watu hatuwaoni,tumepiga kila mahali GAZA lkn mateka hatuwaoni asa hao Hamas watu au majini?wacha nikimbie mie
 
Back
Top Bottom