Tatizo nyie mkimshika mwanaume mnamfanya hadi asahau na familia yake kabisaSasa mama umri huo wivu wa nini?
Hizo hekaheka za wivu atuachie sie watoto zake na visimbuzi vyetu vya Azam burudani kwa wote 🤣🤣🤣
Yani mi ningekalipa Kwa kukatunuku ndoaaaHapa simlaumu Mwanaume mwenzangu kuchepuka.. Kabinti ka watu kameonewa Bure tu
Hivi inawezekana tangu kesi ya jf hadi Leo hii bado awe na cheo hichohicho cha ASP?Kumbe alishawahi kuingia kwenye mfumo wa Adv Kibatala huyo Mama wakati wanamlazimisha Maxence Melo atoe taarifa za Member wa JF
View attachment 3067375
Vyeo havitolewi kama njugu kuna tararibu zake,wanaokufa na V utawaelezeajeHivi inawezekana tangu kesi ya jf hadi Leo hii bado awe na cheo hichohicho cha ASP?
Ikizingatia polisi hivi karibuni wamepandishaa sana vyeo?
Amna nimependa figure yake tu 😂💔Kazi gani?
Mamlaka hii hii?Kwanini mwanzo walisema ni CAPTAIN wa jeshi la wananchi na sasa ni afisa wa jeshi la Polisi? Maana ake kuwa sio habari zote za kuamini mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika
Unakomenti kitu usichokielewa.Vyeo havitolewi kama njugu kuna tararibu zake,wanaokufa na V utawaelezeaje
You will be amaized ni nini binadamu anaweza fanya in times of desperation. Regardless status yake kwneye jamiiMbona huyu hafananii na umri wake,Hekima kumbe Haina umri,Mungu humpa amtakaye na humnyima pia amtakaye!
Mbona taarifa inachanganya!?Assistant Superintendent of Police (ASP) Fatuma Kigondo. Huyu ni afisa wa Jeshi la Polisi. Fatuma ndiye yule ‘afande’ aliagiza ‘JM’ abakwe na kulawitiwa.Assistant Superintendent of Police (ASP) Fatuma Kigondo ni msaidizi wa mkuu wa kituo cha polisi - Bunge (Dodoma). Ni afisa anayefahamika sana.
‘JM’ alikuwa mfanyakazi wake. ASP Fatuma Kigondo akahisi bwana wake (jina lake tunahifadhi kwa hatua za sasa) ana mahusiano na ‘JM’. Akaagiza atekwe.
ASP Fatuma Kigondo anamiliki grocery na liquor store Dodoma. JM ni mmoja kati ya wafanyakazi katika moja kati ya grocery au bar za ASP Fatuma Kigondo.
JM alikuwa anatoka kazini saa tano usiku, akavamiwa na pikipiki mbili, wakashuka watu watano wakiwa na visu mkononi. Wakamchukua na kuondoka naye.
JM amebakwa na kulawitiwa usiku huo hadi kesho yake asubuhi. Video ile imerekodiwa asubuhi wakati wahuni hao wanamaliza kufanya uhalifu.
Chanzo: Boniface Jacob Kupitia X na pia Martin Maranja kaandika
Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa
Pia, Kumbukumbu zinaonesha Askari Fatuma Kigondo aliwahi kutoa ushahidi Tarehe 18, Desemba 2017 akiwa shahidi wa upande wa Jamhuri kwenye Kesi dhidi ya JamiiForums, kwa kosa la kukataa kutoa “taarifa za mteja wao”.
Fungua kiungo hiki kusoma ushahidi huo: Kesi dhidi ya JamiiForums: Shahidi adai waliomba taarifa za mteja bila kutaja ni kwa mujibu wa sheria gani
Kwahiyo tuendelee kupokea habari zinazochanganya kilasiku mkuu? Najua kuwa kuna hearsay, rumours na confirmation. Tujenge mazingira yakusubiri confirmed newsMamlaka hii hii?
Hii ni kesi kubwa sana ishakuwa ya public interest na public relations nightmare kwa serikali, usiichukukie poa tu.Hakuna kesi hapo , nawaambiaga Kesi ya wakubwa utanukumbusha kwamba waliizuga Zuga tu, wameshaichezesha kitambo! Wanasema wamekamatwa Kuna mwenye ushahidi kwamba kuna alokamatwa?
Uongo uongo tu
Britanicca
Ditopile alifungwa?Hii ni kesi kubwa sana ishakuwa ya public interest na public relations nightmare kwa serikali, usiichukukie poa tu.
Kuna kesi nyingine zikishakuwa kubwa sana, hata mtu mkubwa anaondoka.
Kashitakiwa Ditopile Mzuzuri best man wa rais Kikwete, wakati Kikwete ni rais, na kafungwa.
Kwa nini? Issue ilikuwa mbaya sana kiasi kwamba hata Kikwete aliona kuingilia kutamchafua yeye.
Tatizo hapa ni Polisi kuchunguza Polisi, na hawa wanajuana na wote wana madudu. Ila, walio juu wakitaka anaondoka na maji tu.