Mtandao X umejaa wafata mkumbo .na uwabuluza sana mazombie kule kila mtu ni jasusi siku izi
 
Mbona taarifa inachanganya!?
Binti ni wa Buza Dar es salaam au wa Dodoma!?
 
Hakuna kesi hapo , nawaambiaga Kesi ya wakubwa utanukumbusha kwamba waliizuga Zuga tu, wameshaichezesha kitambo! Wanasema wamekamatwa Kuna mwenye ushahidi kwamba kuna alokamatwa?

Uongo uongo tu


Britanicca
Hii ni kesi kubwa sana ishakuwa ya public interest na public relations nightmare kwa serikali, usiichukukie poa tu.

Kuna kesi nyingine zikishakuwa kubwa sana, hata mtu mkubwa anaondoka.

Kashitakiwa Ditopile Mzuzuri best man wa rais Kikwete, wakati Kikwete ni rais, na kafungwa.

Kwa nini? Issue ilikuwa mbaya sana kiasi kwamba hata Kikwete aliona kuingilia kutamchafua yeye.

Tatizo hapa ni Polisi kuchunguza Polisi, na hawa wanajuana na wote wana madudu. Ila, walio juu wakitaka anaondoka na maji tu.
 
Mkuu,

Fatuma mume wake alishafariki siku nyingi. Na baada ya hapo hakuolewa tena.

Hata huyo anayesemwa mume wa mtu, si mume wa mtu.
 
Ditopile alifungwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…