Mkuu,
Fatuma mume wake alishafariki siku nyingi. Na baada ya hapo hakuolewa tena.
Hata huyo anayesemwa mume wa mtu, si mume wa mtu.
Dah, alifungwa mahabusu akatoka kwa dhamana.Ditopile alifungwa?
Hapo sawaDah, alifungwa mahabusu akatoka kwa dhamana.
Nchi ngumu hii.
Alishawahi kukutana na spana za Adv Kibatala nusu akimbie mahakamaniKupitia tu huo muonekano wake; nimebaini vitu vingi sana kutoka kwake. Na kiukweli sitavitaja.
Kupitia tu huo muonekano wake; nimebaini vitu vingi sana kutoka kwake. Na kiukweli sitavitaja.
Mwanaume anataka utulivu na kupetiwa petiwa, sasa km mke mwenyewe muda wote yuko busy na CCM muda wa kubembeleza mume atautoa wapi??Tatizo nyie mkimshika mwanaume mnamfanya hadi asahau na familia yake kabisa
Manyanza msumbufu una mchongo gani? πAlafu na wewe umefunga PM nataka nikupe mchongoπππ
Hiyo paragraph ya mwisho ndio ilifanya sisi wengine tumchukie Magufuli na utawala wake.Binafsi sikuwa namuunga mkono JPM kwa sababu sikuwa nimeona giza lenyewe.
Unajua kama huna tochi kjinga cha moto kinakusaidia kutembelea kwenye giza nene!
Pakiwa na giza kidogo huwezi kuona umuhimu wa kijinga cha moto endapo giza ni dogo.
Pakiwa na giza nene na huna tochi utakumbuka kijinga cha moto.
Hii ni awamu ya giza nene. Shetani amejiinua kwa kiburi kikubwa sana.
Tatizo ni CCM kuweka makada wake kuongoza na kutawala kila idara ili kulinda chama na maovu yake . Waovu wakitawala watu huugua.
Huyo story zake chai anataka attentionLamomy mtu ana miaka 60+ Vijana wanatongoza
Natongozwa na watoto waliozaliwa mwaka 2000, yani nitwachapa nyie! ohoo!
Ni kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au? mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena? sasa mtapita wapi na mimi "eti, Tsup ma, how ya doin' baby send me your photo ma, you love my swaga? hey babe, lil mama hey honey money money penny i got money for ya'' yani huku...www.jamiiforums.com
Upo sahihi lakini kwa ilivyozoeleka si ajabu usisikie chochote tena kuhusu hili, itabaki kuwa minong'ono tu na tetesi.Kwahiyo tuendelee kupokea habari zinazochanganya kilasiku mkuu? Najua kuwa kuna hearsay, rumours na confirmation. Tujenge mazingira yakusubiri confirmed news
Mume hana kosa lolote mpaka sasapicha ya mumewe iweke pia ili tujue tunaanzia wapi
Money Penny ya kwel aya??πππ
Kuna Mama alitoa namba ya whatsapp vijana wakawa wanamtongoza Yaani Vijana wa kiume wamekuwa wa hovyo sana aisee
es kuna mjeshi mmoja na huyo askari lazima kitamkuta kitu..Kwanini mwanzo walisema ni CAPTAIN wa jeshi la wananchi na sasa ni afisa wa jeshi la Polisi? Maana ake kuwa sio habari zote za kuamini mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika
Wala,pengine ndo kanaenda kuliwazwa,kupoozwa maumivu na mshua. Tena ikibidi na glocery kanapewa na inahamishwa. Wakati mwingine,maafa ndo hutoa njia ya maisha.Hapa simlaumu Mwanaume mwenzangu kuchepuka.. Kabinti ka watu kameonewa Bure tu