wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Refa mudaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
enhee imekuwaje?Nilisema mapema sana kuhusu hii mechi
Na ndio maana hayapewi fursa kuchezesha mechi za kimataifaRefa mudaaaaa
Nambie mtu wangu hali iko vipi?Umeme umerudiiii kuna habari njemaaaa
Hamna lolote mmetukimbia tu mlijua kitakachowakuta.Sio mbaya mpate la kuongea.
Sisi hatulaumu wachezaji na kutafuta visingizio kama nyie.
Dah! Mechi ngumu sana hii kwa wananchi! 😫Nilisema mapema sana kuhusu hii mechi
Yanga wamepewa penati ya mchongoNambie mtu wangu hali iko vipi?
Aaah huyu refa inamaana yale maneno ya manara ndio yalimtisha kiasi hicho?Dk 5 zote hizo. Wamezingua asee
Mpira ni draw au yanga anakufaMaajabu ya mpira wa bongo utakuta yanga anasawazisha na kushinda
Ufala huu.