Nabold kabisa.
Sio wamban Half American, kesho aamke na kiazi kitamu.
Bora umetuaga tu kabisa πNitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi ππ
Zipi hizo mkuu 7Weka IDs zako zote...
WaleteBahati nzuri,jf ukiandika uzi huwezi tena kuufuta.
Uzi wako utaukimbia huu,sisi tutawatag tu mods watekeleze hukumu.
Hamna nomaBora umetuaga tu kabisa π
Hakuna utani namaanisha acha nipate nachostahiliMkuu kama ni utani sema mapema maana moderator wamevurugwa watakulamba kweli
Zipi hizo mkuu 7
Sawa Haina shida π€©Namaanisha mkuu sio masikhara
Sina mkuuAmbazo utaingia nazo kama hii ikipigwa kipapai na mods...
π nimeyakanyaga huyu kibu leo hapana[emoji1787] hata sijui nacheka nini
Sawa mkuu.Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi ππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Sawa mkuu.
Tutazingatia
π€£π€£π€£ mtoto mbaya unachekelea chooni[emoji1787] hata sijui nacheka nini