Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Kama Jf wamegoma kukupa ban jipige mwenyewe tusikuone kuanzia sasa😬😬Ndio nini sasa hiki 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Jf wamegoma kukupa ban jipige mwenyewe tusikuone kuanzia sasa😬😬Ndio nini sasa hiki 🤔
Lazima nipate nachostahiliTulia bhana.. please 😉
Sawa n plan BKama Jf wamegoma kukupa ban jipige mwenyewe tusikuone kuanzia sasa😬😬
Afu mbona wewe ni mtaratibu sana,sijui umeanzajeanzajeLazima nipate nachostahili
Sawa n plan B
Njoo na I’d nyingine hii tutakusumbua ujipe mapumziko kama ulivyosema😁😁Lazima nipate nachostahili
Sawa n plan B
Bado upo?Na Mimi Yanga akatoa Draw naomba nipigwe ban mwaka mzima na km akifungwa naomba nipigwe ban miaka 3 mfululizo bila kupumzika
Umeona ahadi za kipopoma zilivyowagharimu? Hivyo kabisa! Na upigwe ban kama ulivyoomba umbwa wewe!Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi 💚💛
Unaanza lini utekelezaji?Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi [emoji172][emoji169]
Half american unaulizwa jibu swali bado upo au umesamehewa?Bado upo?
Timiza hili[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mkuu.
Tutazingatia
Alipigwa ban wamemwachia nahisi alipigwa ya masaa mawili,
Tayari alishapigwa ban ameachiwa
😂Afu mbona wewe ni mtaratibu sana,sijui umeanzajeanzaje
😂 nawaachia jf yenu ad octoberNjoo na I’d nyingine hii tutakusumbua ujipe mapumziko kama ulivyosema😁😁
🤣😂Umeona ahadi za kipopoma zilivyowagharimu? Hivyo kabisa! Na upigwe ban kama ulivyoomba umbwa wewe!
Leo
Mbona nawe uliaga ila umemkazia mwenzio 🙄Half american unaulizwa jibu swali bado upo au umesamehewa?
Pole mkuu tekeleza ahadi yako lakini usije na ID nyingine!😂
😂 nawaachia jf yenu ad october
🤣😂
Leo
Mbona bado wapo aise[emoji28][emoji28]Ombi limefanyiwa kazi [emoji41]
😂
😂 nawaachia jf yenu ad october
🤣😂
Tunakutania hebu baki na sisi
Leo
Mimi nilikua namsindikiza tu km mchangiaji Mimi sikuaga si unajua wapambe hawakosekani Ila wapambe ni nuksi kikinuka wanakugeukaMbona nawe uliaga ila umemkazia mwenzio 🙄