Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Yanga angeshinda hapa nyumbani, Makolo wangekuja na hoja nyepesi kuwa USM Alger ni timu dhaifu kama zingine zinazoshiriki Kombe la Shirikisho na ndio maana wamefungwa na Yanga.
Kwakuwa Yanga kafungwa na sasa wanaisifia USM Alger, basi matokeo yakiwa tofauti huko Algeria, hawatathubutu kusema USM Alger ni vibonde, bali watatafuta sababu nyingine maana hawatakosa.
Mungu ana makusudi na kila jambo.
Kwakuwa Yanga kafungwa na sasa wanaisifia USM Alger, basi matokeo yakiwa tofauti huko Algeria, hawatathubutu kusema USM Alger ni vibonde, bali watatafuta sababu nyingine maana hawatakosa.
Mungu ana makusudi na kila jambo.