Yanga angepangwa kundi la Simba angekuwa anaongoza na angemaliza kundi na pointi 18

Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly? Au ulikuwa ujazaliwa?
 
Kwani mpaka sasa kimemshinda nini yanga kumchapa mwarabu kwani wana nini kipya cha ajabu mbona yanga inakikosi kizuri kimempiga hadi simba 5 basi kama mmeshindwa kulamba point kadhaa sasa una uhakika gani kwamba yanga wangewekwa kwenye kundi la simba wangetoboa? Mpira hauhitaji nani mchawi mpira unahitaji juhudi na mapambano ya kweli hapa tz tushazoea lawama japo sio mfuatiliaji sana wa mpira
 
Acha kutafuta huruma hapa upewe kundi la simba gani ,,mpira wa makundi ni mahesabu sio kukimbia kimbia tu kama majinga,,hapa akina marumo hawamo,pambana na kindi lako😜😜
 
Muongoze kundi gani nyie vibwengo [emoji196]? Cr belouzidad amewakanda na yeye akakandwa na yule mliyetegemea ni mchekeo ... Jana mshukuru ile kafara mliyoifanya kwa kisingizio cha dua zimewasaidia sana .
Mbeba hirizi aliingiwa na mteru.
 
Kulaaaaninaa😂😂😂 watu washaamza kutamani kundi letu tena? Me nilijua tu yani mijitu iliambiwa ivae msuli bila boxer na kweli ikavaa msuli mkavu sasa hapo pana nini si ushoger huo
 
Acha kutafuta huruma hapa upewe kundi la simba gani ,,mpira wa makundi ni mahesabu sio kukimbia kimbia tu kama majinga,,hapa akina marumo hawamo,pambana na kindi lako[emoji12][emoji12]
Nyie ambao hamkimbii kimbii, tokea msimu huu umeanza, ni mechi ipi ambayo mmeshinda?
 
Wewe shinda gem zako ,,acha kutafuta huruma huku si mlisema nyie ni bora mnakikosi ,, sa hz kina walamba mnakimbilia makundi ya wengne😜
 
timuhio ni ahali acha kuzunguka mkuu
Wala hakuna tatizo. Kwanza sisi Yanga kwa msimu huu malengo yetu makuu yalikuwa ni kufika hatua ya makundi.

Hivyo tukiishia hatua hii, poa tu. Tutajipanga vizuri msimu ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…