Yanga atapita hatua ya makundi, Simba atashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake

Yanga atapita hatua ya makundi, Simba atashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake

Halafu kwanini utuombee mabaya?
Wapi nimewaombea mabaya tena. Mimi nimetoa mtazamo wangu kulingana na jinsi nilivyoziangalia timu zote 8 za makundi husika au ulitaka niseme simba ataenda kumpiga raja cqsablanca kwake kitu ambacho hakina uhalisia
 
Wapi nimewaombea mabaya tena. Mimi nimetoa mtazamo wangu kulingana na jinsi nilivyoziangalia timu zote 8 za makundi husika au ulitaka niseme simba ataenda kumpiga raja cqsablanca kwake kitu ambacho hakina uhalisia
Mbona nyie mlipiga yule mtunis?
 
Simba ipo top ten Africa ila mlipigwa kama Ngoma na Horoya ambayo mmeizidi kiwango kwa mujibu wa CAF.

We endelea tu kuamini ujinga wa viwango!
Simba wamejificha kwenye propaganda ya ranks za caf wakati ukiangalia trend ya ubora wa timu yao inazidi kushuka labda kwa mawazo yao wanafikiri izo ranks zinabaki ivyo ivyo milele
 
Uto mmepata kiwewe. Msisahau Mazembe (jana walikuwa Wazembe); Monastir na Real Bamako wote wako juu yenu ktk ranking wa vilabu Africa.
Kwan mazembe si hana historia ya kufungwa hapo kwa mkapa alipotoka muarabu baada ya kutoka Azam
 
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)

Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)
Khaaa!!!
Sijapata kuona hizi mathematics... Kali sana Jo.
 
umesema kweli simba tumekalia moto wa gesi
Wenzako bado wanaishi kwenye fantasy ya kufika semi finals na propaganda za "ranks za caf" na "kwa mkapa hatoki mtu", hawaoni kwamba kwa miaka miwili mfululizo chart ya ubora wa timu yao inazidi kushuka kila msimu
 
Simba game ya mwisho yuko na RAJA na sio HOROYA
 
Swadaktah 💪💪💪💪
Sisi ndo Youngaaaaaahhhhhhhhh
 
Simba wasipobadilika kwa kebehi hizi, wanarudi walipotokea.
 
Simba wasipobadilika kwa kebehi hizi, wanarudi walipotokea.
Bado wanaishi kwenye fantasy ya kufika semi finals na propaganda za "ranks za caf" na "kwa mkapa hatoki mtu", hawaoni kwamba kwa miaka miwili mfululizo chart ya ubora wa timu yao inazidi kushuka kila msimu wakija kushtuka wamepigwa gap mpaka na singida united. Rage apewe phd ya heshima, alizisoma akili zao siku nyingi sana
 
Back
Top Bottom