Halafu kwanini utuombee mabaya?Mahaba gani tena. Kipi ambacho sio sahihi hapo? Ranks haziamui matokeo alafu zinabadilika kama msimamo wa ligi timu inapanda na kushuka kulingana na muendelezo wa matokeo/kiwango
Wapi nimewaombea mabaya tena. Mimi nimetoa mtazamo wangu kulingana na jinsi nilivyoziangalia timu zote 8 za makundi husika au ulitaka niseme simba ataenda kumpiga raja cqsablanca kwake kitu ambacho hakina uhalisiaHalafu kwanini utuombee mabaya?
Mbona nyie mlipiga yule mtunis?Wapi nimewaombea mabaya tena. Mimi nimetoa mtazamo wangu kulingana na jinsi nilivyoziangalia timu zote 8 za makundi husika au ulitaka niseme simba ataenda kumpiga raja cqsablanca kwake kitu ambacho hakina uhalisia
Kwa sasa uwezo wa yanga ni mkubwa ukilinganisha na wa simbaMbona nyie mlipiga yule mtunis?
TawireeeKwa sasa uwezo wa yanga ni mkubwa ukilinganisha na wa simba
Simba ipo top ten Africa ila mlipigwa kama Ngoma na Horoya ambayo mmeizidi kiwango kwa mujibu wa CAF.Uto mmepata kiwewe. Msisahau Mazembe (jana walikuwa Wazembe); Monastir na Real Bamako wote wako juu yenu ktk ranking wa vilabu Africa.
Simba wamejificha kwenye propaganda ya ranks za caf wakati ukiangalia trend ya ubora wa timu yao inazidi kushuka labda kwa mawazo yao wanafikiri izo ranks zinabaki ivyo ivyo mileleSimba ipo top ten Africa ila mlipigwa kama Ngoma na Horoya ambayo mmeizidi kiwango kwa mujibu wa CAF.
We endelea tu kuamini ujinga wa viwango!
Kwan mazembe si hana historia ya kufungwa hapo kwa mkapa alipotoka muarabu baada ya kutoka AzamUto mmepata kiwewe. Msisahau Mazembe (jana walikuwa Wazembe); Monastir na Real Bamako wote wako juu yenu ktk ranking wa vilabu Africa.
Khaaa!!!Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)
Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)
Wenzako bado wanaishi kwenye fantasy ya kufika semi finals na propaganda za "ranks za caf" na "kwa mkapa hatoki mtu", hawaoni kwamba kwa miaka miwili mfululizo chart ya ubora wa timu yao inazidi kushuka kila msimuumesema kweli simba tumekalia moto wa gesi
Itampa unafuu maana mpaka kufika game ya mwisho raja atakua ashajiakikishia nafasi ya kwanza ingawa kipogo akiepukikiSimba game ya mwisho yuko na RAJA na sio HOROYA
Mtatafutana tupo pale tunawacheki. Naona mnanyevuka na kuhemuka kwa ushindi wa jana[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]. Agiza peps bariiiiid nakuja kulipa
Bado wanaishi kwenye fantasy ya kufika semi finals na propaganda za "ranks za caf" na "kwa mkapa hatoki mtu", hawaoni kwamba kwa miaka miwili mfululizo chart ya ubora wa timu yao inazidi kushuka kila msimu wakija kushtuka wamepigwa gap mpaka na singida united. Rage apewe phd ya heshima, alizisoma akili zao siku nyingi sanaSimba wasipobadilika kwa kebehi hizi, wanarudi walipotokea.