Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Siwezi kubet chochote.....Mimi naamini ktk mawazo huru, nimetoa utabiri WANGU kupitia kile nilichokiona Mimi Wala sio dhambi

Pili, sijamkashifu Wala kumtukana shabiki yoyote wa Yanga, kiufupi haya ni maoni yangu binafsi Mimi Metronidazole 400mg

Mpira sio vita Wala ugomvi, Haina haja ya kufika huko unapotaka mkuu, mpira ni burudani, waambie na wenzio sawa??
 

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa???😂
 
Aisee we ni hatari!
Hatimae yamekuwa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…