Yanga ikitwaa Kombe la Shirikisho itapata Tsh. Bilioni 4.7, ikifungwa itapata Tsh. Bilioni 2.3

Yanga ikitwaa Kombe la Shirikisho itapata Tsh. Bilioni 4.7, ikifungwa itapata Tsh. Bilioni 2.3

Mh sidhani kama ipo hivyo, anayeishia njiani ndio anachukua ela ila anayeendelea na mashindano anapewa ela yake kulingana na alipofikia. Pesa hiyo ya mshindi wa pili imejumuisha ela za hatua zote, hivyo hivyo kwa bingwa nae hizo pesa zimejumuisha hatua zote pia.
Huwa inafanyika katika kila hatua na mara nyingi huwa wanaita ni PESA ZA MAANDALIZI. Kwahiyo huwa kuna PESA ZA MAANDALIZI katika kila hatua ambapo timu itakuwa imefuzu.
 
Shirikisho la Soka Afrika limetangaza ongezeko la Asilimia 40 katika zawadi za Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, ivi ndivyo viwango vipya vya fedha kwa kila hatua;

Ligi ya Mabingwa Afrika

Bingwa: Dola Milioni 4 (Tsh. Bilioni 9.4)

Wa pili: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)

Nusu Fainali: Dola 1.2 (Tsh. Bilioni 2.8)

Robo Fainali: Dola 900,000 (Tsh. Bilioni 2.1)

Wa 3 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)

Wa 4 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)

-

Kombe la Shirikisho

Bingwa: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)

Wa pili: Dola Milioni 1 (Tsh. Bilioni 2.3)

Nusu Fainali: Dola 750,000 (Tsh. Bilioni 1.8)

Robo Fainali: Dola 550,000 (Tsh. Bilioni 1.3)

Wa 3 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)

Wa 4 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)

======== ========== ========

CAF announces vast increases in Champions League, Confed Cup prizes

The Confederation of African Football (CAF) announced on Friday that the prize money for the CAF Champions League and Confederation Cup will be increased by 40 percent.

The move is in line with CAF President Patrice Motsepe's commitment to making African football competitions more competitive and self-sustaining, according to a statement by CAF.

"In the CAF Champions League, the winner will receive $4 million, an increase from the previous prize of $2.5 million," CAF said in their statement.

"In the CAF Confederation Cup, the prize money for the winner has increased from $1.25 million to $2 million," the statement added.

Egyptian giants Ahly are one step closer to the Champions League final after an impressive 3-0 win over Esperance of Tunisia in Rades last week.

The two teams will meet again in Cairo on Friday for the second leg game.

Meanwhile, title holders Wydad Casablanca were held to a goalless draw by nine-man Mamelodi Sundowns of South Africa in the semifinals' first leg last week. They will play the second leg on Saturday.

The CAF Champions League final will be played in a two-leg game on 4 June and 11 June.


Source: english.ahram.org.eg
Simba anapewa Dola 2.5m kujiandaa Tu Kwa CAF superleague
 
Ikiwa kila kitu kitabaki sawa halafu tupate na nyongeza ya mwamba mpambanaji Ranga CHIVAVIRO, Yanga hii utazidi kuipenda ndani na kimataifa.
Na huku ndani magolikipa watakuwa wanasingizia kuumwa vidole kila siku kukwepa lawama.
Kila mnayekutana naye mnataka wachezaji wao, hii ni dalili bado hamjapevuka kwenye mambo haya ya kimataifa.
 
Huu ndo ukweli
FB_IMG_16845064585441327.jpg
 
Huwa inafanyika katika kila hatua na mara nyingi huwa wanaita ni PESA ZA MAANDALIZI. Kwahiyo huwa kuna PESA ZA MAANDALIZI katika kila hatua ambapo timu itakuwa imefuzu.
Hapana mkuu hiyo utapata kiasi cha pesa kulingana na unapoishia tu, ukisonga mbele pesa ya hatua ya mbele imejumuisha hatua zote za nyuma

Naomba nitolee mfano kiwango cha pesa kilichotelewa msimu uliopita kabla ya kuongezwa pesa kwa siku mbili hizi.

Jumla ya pesa waliyotenga CAF katika michuano ya klabu bingwa ni usd milioni 12 5
Sasa tukienda kwenye uhalisia/ mchanganua wa hizo dola milioni 12.5 ni kama ifuatavyo

Jumla kuna makundi manne na katika kila kundi lazima zitolewe timu mbili na kisha timu mbili ndio zinazonga mbele, hivyo kuna timu nane zitaaga mashindano, hawa wanaoga wanapewa dola 550,000
Hapo inakatika 8 x 550,000 = usd 4,400,000

Baada ya timu nane kuaga, timu nane zilizobaki zitakuwa zimefuzu robo fainali, lakini kwenye hii hatua kuna timu 4 zitaenda mbele na 4 zingine zitakuwa zimeaga mashindano na kuishia robo yao (wakina robo fc)
Hapo itakatika 4 x 650,000 = usd 2,600,000

Hapo juu kuna timu nne zimetolewa na nne zikasonga mbele na kucheza hatua ya nusu fainali hivyo kwa vyovyote vile lazima timu mbili ziage.
Hapo tena fungu la CAF linamegeka tena
2 x 875,000 = usd 1,750,000

Timu zilizobakia ni mbili tu ambazo zitacheza fainali na bingwa atapata usd 2,500,000 na mshindi wa pili anapata usd 1,250,000.

Ukijumlisha usd 4,400,000
usd 2,600,000
usd 1,750,000
usd 2,500,000
usd 1,250,000
Ukijumlisha utapata jumla ya usd 12,500,000 (usd 12.5M) ambayo ndio jumla ya mpunga unaotolewa na CAF kwenye michuano ya klabu bingwa kwa msimu wa nyuma
IMG_20230519_171413.jpg
 
Shirikisho la Soka Afrika limetangaza ongezeko la Asilimia 40 katika zawadi za Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, ivi ndivyo viwango vipya vya fedha kwa kila hatua;

Ligi ya Mabingwa Afrika

Bingwa: Dola Milioni 4 (Tsh. Bilioni 9.4)

Wa pili: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)

Nusu Fainali: Dola 1.2 (Tsh. Bilioni 2.8)

Robo Fainali: Dola 900,000 (Tsh. Bilioni 2.1)

Wa 3 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)

Wa 4 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)

-

Kombe la Shirikisho

Bingwa: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)

Wa pili: Dola Milioni 1 (Tsh. Bilioni 2.3)

Nusu Fainali: Dola 750,000 (Tsh. Bilioni 1.8)

Robo Fainali: Dola 550,000 (Tsh. Bilioni 1.3)

Wa 3 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)

Wa 4 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)

======== ========== ========

CAF announces vast increases in Champions League, Confed Cup prizes

The Confederation of African Football (CAF) announced on Friday that the prize money for the CAF Champions League and Confederation Cup will be increased by 40 percent.

The move is in line with CAF President Patrice Motsepe's commitment to making African football competitions more competitive and self-sustaining, according to a statement by CAF.

"In the CAF Champions League, the winner will receive $4 million, an increase from the previous prize of $2.5 million," CAF said in their statement.

"In the CAF Confederation Cup, the prize money for the winner has increased from $1.25 million to $2 million," the statement added.

Egyptian giants Ahly are one step closer to the Champions League final after an impressive 3-0 win over Esperance of Tunisia in Rades last week.

The two teams will meet again in Cairo on Friday for the second leg game.

Meanwhile, title holders Wydad Casablanca were held to a goalless draw by nine-man Mamelodi Sundowns of South Africa in the semifinals' first leg last week. They will play the second leg on Saturday.

The CAF Champions League final will be played in a two-leg game on 4 June and 11 June.


Source: english.ahram.org.eg
Yanga anamaliza mechi next wiki akienda kule anaushindi wa goli 3 please mark maneno yangu congratulations kwao
 
Nyanga pesa walizopata tokea makundi ni nyingi sana. Waanze kujenga uwanja sasa. Bajeti ya bln 10 unatosha uwanja
 
Ukiachana na zawadi ya UBINGWA, ina maana kwa lugha nyingine timu iliyofika fainali kwa ngazi ya SHIRIKISHO mpaka sasa hivi itakuwa imeshakusanya zaidi ya USD 2.0 MILLION kwa sababu kila hatua waliyokuwa wanavuka walikuwa wanapewa kitita cha pesa.
Huu utaratibu unaongeleqa sana mtaani. Ila mimi ninachofahamu, timu inapotolewa katika hatua fulani, ndiyo hupatiwa hicho kiasi. Ila ikitokea ikaendelea, haipewi.

Yaani mfano Yanga ina uwezo wa kupewa hela ya mshindi wa kwanza, au wa pili. Ila siyo hela za makundi, robo fainali, na nusu fainali.
 
Back
Top Bottom