Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Huwa inafanyika katika kila hatua na mara nyingi huwa wanaita ni PESA ZA MAANDALIZI. Kwahiyo huwa kuna PESA ZA MAANDALIZI katika kila hatua ambapo timu itakuwa imefuzu.Mh sidhani kama ipo hivyo, anayeishia njiani ndio anachukua ela ila anayeendelea na mashindano anapewa ela yake kulingana na alipofikia. Pesa hiyo ya mshindi wa pili imejumuisha ela za hatua zote, hivyo hivyo kwa bingwa nae hizo pesa zimejumuisha hatua zote pia.
Simba anapewa Dola 2.5m kujiandaa Tu Kwa CAF superleagueShirikisho la Soka Afrika limetangaza ongezeko la Asilimia 40 katika zawadi za Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, ivi ndivyo viwango vipya vya fedha kwa kila hatua;
Ligi ya Mabingwa Afrika
Bingwa: Dola Milioni 4 (Tsh. Bilioni 9.4)
Wa pili: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)
Nusu Fainali: Dola 1.2 (Tsh. Bilioni 2.8)
Robo Fainali: Dola 900,000 (Tsh. Bilioni 2.1)
Wa 3 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)
Wa 4 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)
-
Kombe la Shirikisho
Bingwa: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)
Wa pili: Dola Milioni 1 (Tsh. Bilioni 2.3)
Nusu Fainali: Dola 750,000 (Tsh. Bilioni 1.8)
Robo Fainali: Dola 550,000 (Tsh. Bilioni 1.3)
Wa 3 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)
Wa 4 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)
======== ========== ========
CAF announces vast increases in Champions League, Confed Cup prizes
The Confederation of African Football (CAF) announced on Friday that the prize money for the CAF Champions League and Confederation Cup will be increased by 40 percent.
The move is in line with CAF President Patrice Motsepe's commitment to making African football competitions more competitive and self-sustaining, according to a statement by CAF.
"In the CAF Champions League, the winner will receive $4 million, an increase from the previous prize of $2.5 million," CAF said in their statement.
"In the CAF Confederation Cup, the prize money for the winner has increased from $1.25 million to $2 million," the statement added.
Egyptian giants Ahly are one step closer to the Champions League final after an impressive 3-0 win over Esperance of Tunisia in Rades last week.
The two teams will meet again in Cairo on Friday for the second leg game.
Meanwhile, title holders Wydad Casablanca were held to a goalless draw by nine-man Mamelodi Sundowns of South Africa in the semifinals' first leg last week. They will play the second leg on Saturday.
The CAF Champions League final will be played in a two-leg game on 4 June and 11 June.
Source: english.ahram.org.eg
Kila mnayekutana naye mnataka wachezaji wao, hii ni dalili bado hamjapevuka kwenye mambo haya ya kimataifa.Ikiwa kila kitu kitabaki sawa halafu tupate na nyongeza ya mwamba mpambanaji Ranga CHIVAVIRO, Yanga hii utazidi kuipenda ndani na kimataifa.
Na huku ndani magolikipa watakuwa wanasingizia kuumwa vidole kila siku kukwepa lawama.
yaani mpk makolo waseme SHIKAMOO YANGAMwaka huu tukishabeba ndoo ya CAFCC tutajiandaa msimu ujao kubeba CAFCL, wananchi hatuna jambo dogo.
Kweli yanga wenye akili ni wawili tu kule hakuna malumo au rivers UnitedMwaka huu tukishabeba ndoo ya CAFCC tutajiandaa msimu ujao kubeba CAFCL, wananchi hatuna jambo dogo.
Hongereni sana.Mwaka huu tukishabeba ndoo ya CAFCC tutajiandaa msimu ujao kubeba CAFCL, wananchi hatuna jambo dogo.
Hapana mkuu hiyo utapata kiasi cha pesa kulingana na unapoishia tu, ukisonga mbele pesa ya hatua ya mbele imejumuisha hatua zote za nyumaHuwa inafanyika katika kila hatua na mara nyingi huwa wanaita ni PESA ZA MAANDALIZI. Kwahiyo huwa kuna PESA ZA MAANDALIZI katika kila hatua ambapo timu itakuwa imefuzu.
Yanga anamaliza mechi next wiki akienda kule anaushindi wa goli 3 please mark maneno yangu congratulations kwaoShirikisho la Soka Afrika limetangaza ongezeko la Asilimia 40 katika zawadi za Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, ivi ndivyo viwango vipya vya fedha kwa kila hatua;
Ligi ya Mabingwa Afrika
Bingwa: Dola Milioni 4 (Tsh. Bilioni 9.4)
Wa pili: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)
Nusu Fainali: Dola 1.2 (Tsh. Bilioni 2.8)
Robo Fainali: Dola 900,000 (Tsh. Bilioni 2.1)
Wa 3 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)
Wa 4 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)
-
Kombe la Shirikisho
Bingwa: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)
Wa pili: Dola Milioni 1 (Tsh. Bilioni 2.3)
Nusu Fainali: Dola 750,000 (Tsh. Bilioni 1.8)
Robo Fainali: Dola 550,000 (Tsh. Bilioni 1.3)
Wa 3 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)
Wa 4 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)
======== ========== ========
CAF announces vast increases in Champions League, Confed Cup prizes
The Confederation of African Football (CAF) announced on Friday that the prize money for the CAF Champions League and Confederation Cup will be increased by 40 percent.
The move is in line with CAF President Patrice Motsepe's commitment to making African football competitions more competitive and self-sustaining, according to a statement by CAF.
"In the CAF Champions League, the winner will receive $4 million, an increase from the previous prize of $2.5 million," CAF said in their statement.
"In the CAF Confederation Cup, the prize money for the winner has increased from $1.25 million to $2 million," the statement added.
Egyptian giants Ahly are one step closer to the Champions League final after an impressive 3-0 win over Esperance of Tunisia in Rades last week.
The two teams will meet again in Cairo on Friday for the second leg game.
Meanwhile, title holders Wydad Casablanca were held to a goalless draw by nine-man Mamelodi Sundowns of South Africa in the semifinals' first leg last week. They will play the second leg on Saturday.
The CAF Champions League final will be played in a two-leg game on 4 June and 11 June.
Source: english.ahram.org.eg
Hamna timu mleUSM ALGER [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Una shingapi ya kwako mkuuPesa ndogo sana hiyo
Yaani nchi hii uhuru umeziidi alooYaani umebadili jina toka Marumo Gallants to USM Alger, ndio Yanga tunazidi barikiwa
Hizo hela za nyuma hazihesabiwi unapewa hela pale unapoishiaNyanga pesa walizopata tokea makundi ni nyingi sana. Waanze kujenga uwanja sasa. Bajeti ya bln 10 unatosha uwanja
Kumbe, Huo ni usaniiHizo hela za nyuma hazihesabiwi unapewa hela pale unapoishia
Huu utaratibu unaongeleqa sana mtaani. Ila mimi ninachofahamu, timu inapotolewa katika hatua fulani, ndiyo hupatiwa hicho kiasi. Ila ikitokea ikaendelea, haipewi.Ukiachana na zawadi ya UBINGWA, ina maana kwa lugha nyingine timu iliyofika fainali kwa ngazi ya SHIRIKISHO mpaka sasa hivi itakuwa imeshakusanya zaidi ya USD 2.0 MILLION kwa sababu kila hatua waliyokuwa wanavuka walikuwa wanapewa kitita cha pesa.
Hizi tukizipata tunainunua Simba na tunaiguza kuwa kikundi cha unenguaji.Hapo Yanga akibeba kombe analamba karibu 5 billion, kazeni Buti utopolo izo ela ni nyingi sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1]ndo hipo hivyo ukioshia nusu fainali unapewa hela yako ya nusu fainali ile ya makundi na robo hazihesabiwiKumbe, Huo ni usanii