Yanga ikitwaa Kombe la Shirikisho itapata Tsh. Bilioni 4.7, ikifungwa itapata Tsh. Bilioni 2.3

Yanga ikitwaa Kombe la Shirikisho itapata Tsh. Bilioni 4.7, ikifungwa itapata Tsh. Bilioni 2.3

Ila wanapaswa ongeza zaidi angalau zifike hata 6mil usd kwa winner wa CL
 
hapana,
unapewa pale unapoishia tu, sio cummulative kama UCL
Ngoja nikae kimya, lakini UEFA CHAMPIONS LEAGUE, EUROPA pamoja na MICHUANO YA CAF zote zipo sawa kwa namna ya gharama za maandalizi pamoja na utoaji wa zawadi. Kinachokuwa tofauti ni hadhi ya mashindano 🙏🏽
 
Ngoja nikae kimya, lakini UEFA CHAMPIONS LEAGUE, EUROPA pamoja na MICHUANO YA CAF zote zipo sawa kwa namna ya gharama za maandalizi pamoja na utoaji wa zawadi. Kinachokuwa tofauti ni hadhi ya mashindano 🙏🏽
Toka mwanzo umeambiwa leta evidence kuwa kuna hela za maandalizi wanapewa lakini huleti umekalia maneno tu
 
Toka mwanzo umeambiwa leta evidence kuwa kuna hela za maandalizi wanapewa lakini huleti umekalia maneno tu
Huu ni ukweli ambao upo wazi! Michuano yoyote lazima pesa za maandalizi ziwepo na hii huwa inafanyika kisheria.
 
Kombe la Shirikisho

Bingwa: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)
Kwa hiyo hela anayopewa bingwa wa shirikisho (4.7 B) inazidiwa na hela ya maandalizi tu inayopewa timu inayoshiriki Super League (5.8 B), au ni macho yangu tu?
 
Kumbe robo mbili za ligi ya mabingwa sawa na mshindi wa kombe la luzaz?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]




NB: SIMBA SC ITAPOKEA 5B KWA AJILI YA MAANDALIZI YA AFRICA SUPER LEAGUE

umegundua nini hapo?
 
Kwa hiyo hela anayopewa bingwa wa shirikisho (4.7 B) inazidiwa na hela ya maandalizi tu inayopewa timu inayoshiriki Super League (5.8 B), au ni macho yangu tu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ushaambiwa ni losers cup
 
2b Ni ndogo Sana CAF waongeze pesa team inasafiri Kanda zote hizo
Maandalizi
Accommodation zote
Pesa inakuwa imeisha
 
Ngoja nikae kimya, lakini UEFA CHAMPIONS LEAGUE, EUROPA pamoja na MICHUANO YA CAF zote zipo sawa kwa namna ya gharama za maandalizi pamoja na utoaji wa zawadi. Kinachokuwa tofauti ni hadhi ya mashindano [emoji1431]
haya ni matamanio yako ila haiko hivyo.....
uefa wao wana utaratibu wao, tena wao zawadi zao ni cummulative (bingwa wa uefa anapata milion 25 lakini ukijumlisha hela zote kuanzia makundi anaweza pata max mil 86+)

caf wao wanakupa kile kiwango cha ulipoishia tu
 
Ongezeko latokana na jinsi wanavyopata mapato
shida ya caf uswahili mwingi sana,
pia hawaja-brand mashindano yao!...
ndio mana nashangaa sana motsepe anapokimbilia super league, lazima itafeli kwa sababu ni closed shop afu imekaa kiubaguzi
 
Shirikisho la Soka Afrika limetangaza ongezeko la Asilimia 40 katika zawadi za Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, ivi ndivyo viwango vipya vya fedha kwa kila hatua;

Ligi ya Mabingwa Afrika

Bingwa: Dola Milioni 4 (Tsh. Bilioni 9.4)

Wa pili: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)

Nusu Fainali: Dola 1.2 (Tsh. Bilioni 2.8)

Robo Fainali: Dola 900,000 (Tsh. Bilioni 2.1)

Wa 3 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)

Wa 4 Kundini: Dola 700,000 (Tsh. Bilioni 1.6)

-

Kombe la Shirikisho

Bingwa: Dola Milioni 2 (Tsh. Bilioni 4.7)

Wa pili: Dola Milioni 1 (Tsh. Bilioni 2.3)

Nusu Fainali: Dola 750,000 (Tsh. Bilioni 1.8)

Robo Fainali: Dola 550,000 (Tsh. Bilioni 1.3)

Wa 3 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)

Wa 4 Kundini: Dola 400,000 (Tsh. Milioni 940)

======== ========== ========

CAF announces vast increases in Champions League, Confed Cup prizes

The Confederation of African Football (CAF) announced on Friday that the prize money for the CAF Champions League and Confederation Cup will be increased by 40 percent.

The move is in line with CAF President Patrice Motsepe's commitment to making African football competitions more competitive and self-sustaining, according to a statement by CAF.

"In the CAF Champions League, the winner will receive $4 million, an increase from the previous prize of $2.5 million," CAF said in their statement.

"In the CAF Confederation Cup, the prize money for the winner has increased from $1.25 million to $2 million," the statement added.

Egyptian giants Ahly are one step closer to the Champions League final after an impressive 3-0 win over Esperance of Tunisia in Rades last week.

The two teams will meet again in Cairo on Friday for the second leg game.

Meanwhile, title holders Wydad Casablanca were held to a goalless draw by nine-man Mamelodi Sundowns of South Africa in the semifinals' first leg last week. They will play the second leg on Saturday.

The CAF Champions League final will be played in a two-leg game on 4 June and 11 June.


Source: english.ahram.org.eg
Simba anaona wivu 😁😁
 
haya ni matamanio yako ila haiko hivyo.....
uefa wao wana utaratibu wao, tena wao zawadi zao ni cummulative (bingwa wa uefa anapata milion 25 lakini ukijumlisha hela zote kuanzia makundi anaweza pata max mil 86+)

caf wao wanakupa kile kiwango cha ulipoishia tu
Ndiyo maana ninakwambia kinachokuwa tofauti ni hadhi ya mashindano 🙏🏽
 
Back
Top Bottom