Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh, binadamu tumeumbiwa kusahau. Hivyo kukumbushana ni muhimu. Biblical stories na Hadith za Maswahaba unajua ni za karne gani?Yaani mambo ya karne ya 20 unaongelea leo karne ya 21
mabingwa wa kihistoriaYaani mambo ya karne ya 20 unaongelea leo karne ya 21
Nyie si making mabingwa wa kihistoria,kumbe hiyo historia yenu inaanzia wapi?Yaani mambo ya karne ya 20 unaongelea leo karne ya 21
Kwenye goli 19 kwa mechi 6 ni matokeo ya kawaida katika soka.Lakini cha muhimu hayakufika 19 [emoji16][emoji16][emoji16]
ina mana msimu huo simba ilicheza michezo miwili tu kwenye makundi?Kwenye goli 19 kwa mechi 6 ni matokeo ya kawaida katika soka.
Sasa mechi mbili goli 10 ni wastani wa hovyo kuwahi kutokea katika soka yaani ni wastani wa kufungwa 5 kila mechi.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwahyo mkuu watu walikuwa wanajibondea tuJe, inawezekana hicho ndicho kinachowatisha Yanga na kuwafanya wafurahi wakiona Simba imepangiwa Al Ahly, Wydad Casablanca, Raja Casablanca na vigogo wengine?
View attachment 2770150
Cha ajabu ni kwamba yeye ndo anaongoza kwenye group lake kula Mikwaju yakutosha..Kwenye goli 19 kwa mechi 6 ni matokeo ya kawaida katika soka.
Sasa mechi mbili goli 10 ni wastani wa hovyo kuwahi kutokea katika soka yaani ni wastani wa kufungwa 5 kila mechi.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwani makundi ya CAF CL 2023/2024 yameshapangwa mkuu?Je, inawezekana hicho ndicho kinachowatisha Yanga na kuwafanya wafurahi wakiona Simba imepangiwa Al Ahly, Wydad Casablanca, Raja Casablanca na vigogo wengine?
View attachment 2770150
Ahaaaaaa,kkazi kwelikweliSimba wanarekodi yao ya pekee katika michuano ya klabu bingwa baada ya kufungwa goli 10 katika mechi mbili zinazo fuatana.
Anapigwa 5 na As vita anapigwa 5 na Al Ahly.
Iyo ni moja ya rekodi ambazo bado hazija vunjwa pale Caf.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Shangaa na wewe.Yaani mambo ya karne ya 20 unaongelea leo karne ya 21
Makundi bado, ila kinachojulikana hadi sasa ni kwamba Simba hawezi kuwa katika kundi moja na CR Belouizdad, Pyramids au Petro de Luanda, na Yanga hawezi kuwa katika kundi moja na TP Mazembe, Al Hilal au ASEC MimosasKwani makundi ya CAF CL 2023/2024 yameshapangwa mkuu?
Haraka ya nini mkuu,Ijumaa mbona siyo mbali!!Makundi bado, ila kinachojulikana hadi sasa ni kwamba Simba hawezi kuwa katika kundi moja na CR Belouizdad, Pyramids au Petro de Luanda, na Yanga hawezi kuwa katika kundi moja na TP Mazembe, Al Hilal au ASEC Mimosas
🤣🤣🤣🤣Walijibondea hadi CAF ikafuta utaratibu wa kutoa fedha kwa kila goli. Raja Casablanca peke yake alivuna magoli tisa kutoka Yanga