Yanga ilifungwa magoli 19 katika mechi 6 iliposhiriki makundi mara ya mwisho miaka 25 iliyopita

Yanga ilifungwa magoli 19 katika mechi 6 iliposhiriki makundi mara ya mwisho miaka 25 iliyopita

Sio suala la haraka, ni suala la kanuni. Mwanzo niliandika kuwa ni 'uelekeo' kwa kuwa kuna mechi tatu zilikuwa hazijachezwa, lakini kimetokea kama nilivyokuwa nimedhani so sasa hali halisi ndio hiyo
Tukikutana makundi Kuna ubaya?
 
Huu mwaka Simba waliwasaidia Yanga wakawapa Monja Liseki kwa Mkopo, nakumbuka hata Draw waliyopata Yanga Alifunga penalty Monja.
 
Mnatamani sana kuona Yanga nayo inaonekana ni timu mbovu kama ya kwenu! Lakini hesabu na uhalisia kwa sasa unakataa kabisa!!

Na ninakuhakikishia hamtavuka hatua ya makundi, kwa aina ya kikosi mlichonacho msimu huu.
Kabisa watakufa kibudu kila mechi
 
Maneno yasiwe mengi, nimeandika kikaratasi kwa ajili ya maombezi maalum na ntakuwa nakiwasilisha kapuni pamoja na sadaka yangu kila Morning Prayer kuelekea draw ya CAF siku ya Ijumaa.

E mwenyezi Mungu sina maombi mengi mimi mja wako ila naliomba kundi hili litokee kwa uwezo wako mkuu.

Kundi ___
1. Mamelodi Sundown
2. Simba SC
3. Young Africans
4. Jwaneng Galaxy

Jaalia hili ee Mungu wa miungu. Tunataka kumjua real Giant wa Tanzania Football mwaka huuhuu. Nakuomba hili tu kwa mwaka huu Mungu wangu uliye mkuu wa vyote. Amen
 
Mnatamani sana kuona Yanga nayo inaonekana ni timu mbovu kama ya kwenu! Lakini hesabu na uhalisia kwa sasa unakataa kabisa!! Na ninakuhakikishia hamtavuka hatua ya makundi, kwa aina ya kikosi mlichonacho msimu huu.
Weka hizo hesabu tuzione 😁. Mimi nimeweka kilichotokea, kama nimesema uongo mahali, unaruhusiwa kuonyesha usahihi wake
 
Bado tu hujamjua? Ina maana hauiamini CAF? [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Siku zote huwezi kujisifu una mbio kuliko mpinzani wako kama hakuna shindano mlilowahi kukimbia pamoja ukamshinda. Kipimo sahihi ni kuwa kundi moja pamoja na wababe wengine wa msimu huu ili tujipime ubavu vizuri.
 
Maneno yasiwe mengi, nimeandika kikaratasi kwa ajili ya maombezi maalum na ntakuwa nakiwasilisha kapuni pamoja na sadaka yangu kila Morning Prayer kuelekea draw ya CAF siku ya Ijumaa.

E mwenyezi Mungu sina maombi mengi mimi mja wako ila naliomba kundi hili litokee kwa uwezo wako mkuu.

Kundi ___
1. Mamelodi Sundown
2. Simba SC
3. Young Africans
4. Jwaneng Galaxy

Jaalia hili ee Mungu wa miungu. Tunataka kumjua real Giant wa Tanzania Football mwaka huuhuu. Nakuomba hili tu kwa mwaka huu Mungu wangu uliye mkuu wa vyote. Amen
Amina hii itokee kabisa watu waje kulia na kusaga meno
 
Siku zote huwezi kujisifu una mbio kuliko mpinzani wako kama hakuna shindano mlilowahi kukimbia pamoja ukamshinda. Kipimo sahihi ni kuwa kundi moja pamoja na wababe wengine wa msimu huu ili tujipime ubavu vizuri.
Kwani mashindano ya CAF ni Simba tu ilikuwa inashiriki? Yanga ilikuwa haishiriki?
 
Kwamba Yanga ya karne ya 20 ndiyo hii hii ya sasa hakuna mabadiko,kwa akili za baadhi ya watu.
Kwamba Raja Casablanca imebaki vile vile ila Yanga ndio imebadilika?
 
Back
Top Bottom