ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hata Yanga alikua robo fainali kumbuka kipindi kile makundi yalikua mawili na hatua inayo fuata ilikua nusu fainaliMimi sijaanzisha uzi wa magoli aliyofungwa Simba, bali uzi wangu unajitegemea, haulinganishiwi na chochote. Uzi unasema Yanga alifungwa magoli 19 katika mechi zote 6 za makundi, na wewe ukitaka anzisha uzi mwingine useme Simba alifungwa magoli 10 katika mechi mbili (tena usitaje matokeo ya mechi nyingine nne, yataharibu uzi maana Simba alivuka kundi hilo hilo alilofungwa magoli 10 akatinga robo fainali)