koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,763
- 5,167
Kwani red kadi ulikua ya kubumba au ili ya ukwelAISEE YAMETIMIA REFA KUMBE ALISHAHONGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani red kadi ulikua ya kubumba au ili ya ukwelAISEE YAMETIMIA REFA KUMBE ALISHAHONGWA
Simba amenyimwa penati ,,,,mkoko kacheza makusudi labda tusema mkoko alikula mlungula ili apate red kadHii game ilianza ukakasi tangu huyo refa alichaguliwa yeye kuchezesha na kazi yake ilikuwa ni moja tu, yaani kuwatoa mchezoni wachezaji wa Yanga
Sawa wazee wa maelekezo na makandokando ndo ushindi wenu ulipo, ukitaka uone hilo Derby ya Dar Bocco alifanya madhambi ya redcard ila alikaushiwa, mpira ni mchezo wa contact, straight red card Final game maaana yake unaimaliza game mapema kabisa
Mpira mchezo wa contact mkuu, huwezi toa adhabu ya redcard Mapema vile tena Final game, kama sio maelekezo na makandokando ni nini?Simba amenyimwa penati ,,,,mkoko kacheza makusudi labda tusema mkuku alikula mlungula ili apate red kad
Aisee limetokeaNajua hamuamini hili refa anaingia uwanjan na redkadi yenu kapewa maagizo wapi sijui
Ushauri
1) Wachezaji mjitahidi sana kushinda magoli mengi kipindi cha kwanza
2) Wachezaji mjitume dakika zote tisini mkijua hamchezi na wenzenu 11
3) Kama kuna mechi kucheza kwa nidhamu zote n kesho mnapambana si na.Simba tu..
4) Msiwe na hofu na uwoga hata atakapotolewa mmoja wa wachezaji wenu hii ktk kuwaondoa mchezoni
5) Mwisho mtangulizen Mungu ndie muweza yote
Contact ya kiwiko cha makusudi??? tofautisha migusano na kupiga ,mkoko alicho Fanya alimpiga biko makusudi kabsa bila kupepesa machoMpira mchezo wa contact mkuu, huwezi toa adhabu ya redcard Mapema vile tena Final game, kama sio maelekezo na makandokando ni nini?
Ndo ivo mshapigwa mtulieRefa achunguzwe
Mukoko achunguzwe
Boko achunguzwe
Kuna haryfu ya rushwa
Ni halali kabisa.Maoni yako mkuu, unahisi sio halali?
Bocco kacheza undava before, Hilo Refa hajaliona kabisaRed card imeharibu radha ya mchezo na ushindi kwa ndugu zetu.
Alichokifanya Onyango kumpush yule dogo wakati refa kishaweka faulo, tunakiitaje?Boko aliingia vibaya sawa lakini hiyo sio faulo la kupewa red card boko labda kama unazungumzia gemu ya kwanza ile nakubaliana na wewe ila sio hii ya leo. Alichokifanya Mukoko sio uungwana kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maneno ya mkosaji hayo.Mukoko amepokea milioni 10 kwa Simba SC, ni mpuuzi inabidi achunguzwe zaidi. Haiwezekani mchezaji professional ufanye ujinga kama ule.
Huu ni udhaifu wa REFA, hii nayo ni red card lakini haiondoi uhalali wa redcard ya Mukoko.Alichokifanya Onyango kumpush yule dogo wakati refa kishaweka faulo, tunakiitaje?