Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Kuna baadhi ya mashabiki oya oya na wale wa makoro koro FC wanataka kutumia mechi ya yanga ya jana kufungwa Kama kichaka cha kueneza propaganda ya kuwa yanga imesajili vibaya.
Watu hao nafikiri hawako timamu kwenye masuala ya kuangalia timu kiufundi bali wanasukumwa na mihemuko aidha ya chuki binafsi au kutokuelewa mpira wenyewe unaochezwa.
Yanga jana imecheza na timu bora inayotoka ligi bora nchini Zambia, yanga imecheza na timu iliyoanza preseason tokea tarehe 1/8 , wamecheza mechi za kirafiki 6 kujiweka sawa na iyo imechagizwa na logo yao kumalizika mapema kabisa mwezi wa 6.
Hivyo ni timu ambayo imeshajiset kimuunganiko na kimaandalizi pia, yanga yenyewe ndo mechi ya kwanza ya maana ya kirafiki ambayo imewapa mwanga waanzie wapi kurekebisha panapovuja,,mda wa maandalizi kwa yanga aukuwa rafiki kutokana na ligi yetu pia kuchelewa kumalizika.
Isingewezekana eti unaanza maandalizi moja kwa moja kwa kucheza mechi za kirafiki iyo kitu aipogo duniani kwa kocha yeyote, maana kuna wajinga wengine wamekomaa na yanga kutocheza mechi za kirafiki wakati kitaalam lazima uanze na mazoezi ya viungo, utimamu wa mwili na mazoezi mengine magumu ya kuuandaa mwili vizuri kwaajili ya mechi zenyewe, hivyo kwa muda huo yanga isingeweza kucheza mechi yoyote ya kirafiki kabla awaajamaliza program husika.
Tayari jana tumeona yanga imefanya usajili bora kabisa kinachofata ni muunganiko na match fitness kwa wachezaji watakuwa wameiweka timu sawa kwa ajili ya mashindano, timu wanayo tena kabambe wasitolewe kwenye njia na wapuuzi wachache wanaotumika na wasiojielewa.
Watu hao nafikiri hawako timamu kwenye masuala ya kuangalia timu kiufundi bali wanasukumwa na mihemuko aidha ya chuki binafsi au kutokuelewa mpira wenyewe unaochezwa.
Yanga jana imecheza na timu bora inayotoka ligi bora nchini Zambia, yanga imecheza na timu iliyoanza preseason tokea tarehe 1/8 , wamecheza mechi za kirafiki 6 kujiweka sawa na iyo imechagizwa na logo yao kumalizika mapema kabisa mwezi wa 6.
Hivyo ni timu ambayo imeshajiset kimuunganiko na kimaandalizi pia, yanga yenyewe ndo mechi ya kwanza ya maana ya kirafiki ambayo imewapa mwanga waanzie wapi kurekebisha panapovuja,,mda wa maandalizi kwa yanga aukuwa rafiki kutokana na ligi yetu pia kuchelewa kumalizika.
Isingewezekana eti unaanza maandalizi moja kwa moja kwa kucheza mechi za kirafiki iyo kitu aipogo duniani kwa kocha yeyote, maana kuna wajinga wengine wamekomaa na yanga kutocheza mechi za kirafiki wakati kitaalam lazima uanze na mazoezi ya viungo, utimamu wa mwili na mazoezi mengine magumu ya kuuandaa mwili vizuri kwaajili ya mechi zenyewe, hivyo kwa muda huo yanga isingeweza kucheza mechi yoyote ya kirafiki kabla awaajamaliza program husika.
Tayari jana tumeona yanga imefanya usajili bora kabisa kinachofata ni muunganiko na match fitness kwa wachezaji watakuwa wameiweka timu sawa kwa ajili ya mashindano, timu wanayo tena kabambe wasitolewe kwenye njia na wapuuzi wachache wanaotumika na wasiojielewa.