Yanga msitolewe kwenye njia na mashabiki oyaoya, timu mnayo

Yanga msitolewe kwenye njia na mashabiki oyaoya, timu mnayo

mnatumia nguvu kubwa kupaka rangi uchafu lakini hata mechi ya jana inatosha kutoa picha kwamba kuna kazi ya kufanya,tena kubwa tu

wiki mbili zijazo timu ina game ya mtoano club bingwa africa halafu leo tunaona sawa tu kufungwa na tunatoa excuse ya hakuna muunganiko

huo muda wote kocha alikua anafanya nini,timu imeenda morocco hata sijui kufanya nini sababu sijawahi kuona pre season ya siku sita jamani hata siku moja,unamaliza pre season bila hata mechi moja ya majaribio..kwanini!?

tuseme ukweli..timu yetu sisi bado,uwekezaji unaofanywa hautakiwi kupigiwa kelele kwamba mwaka huu utaleta matokeo kama wanavyotujaza viongozi

gsm waseme ukweli...siyo kuongea kaa anavyoongea manara,hivi kweli jwa akili zetu,yanga inaweza kuchukua makombe yote itayoshiriki msimu huu!??

manara halafu hatuheshimu...kule simba alikua anasema watachukua ligi na FA,club bingwa alikua anasema kabisa kwa hatua ya sasa simba haiwezi kubeba..labda kwa fluke

ila leo anasema yanga itabebaa kila kombe including champions league...hizi ni dharau
Naona hujui maana ya pre-season,mechi ya jana ni mojawapo ya match za pre-season na Yanga bado ina siku wiki na siku kadhaa kabla ya kuanza mechi za kimashindano,bado wanaweza kucheza match hata za majaribio hata 3 kabla ya klabu bingwa,kwa jana sina cha kuwalaumu,imagine wachezaji wengine wa Yanga wamefika juzi mchana kutoka morocco,wengine walikua dar toka j4 last week,cha kushauri hizi siku chache zilizobaki wasifanye masihara,ikiwezekana waipeleke.timu zambia au uganda wakapate match sahihi za majaribio kabla ya tarehe 12
 
Kuna baadhi ya mashabiki oya oya na wale wa makoro koro FC wanataka kutumia mechi ya yanga ya jana kufungwa Kama kichaka cha kueneza propaganda ya kuwa yanga imesajili vibaya.

Watu hao nafikiri hawako timamu kwenye masuala ya kuangalia timu kiufundi bali wanasukumwa na mihemuko aidha ya chuki binafsi au kutokuelewa mpira wenyewe unaochezwa.

Yanga jana imecheza na timu bora inayotoka ligi bora nchini Zambia, yanga imecheza na timu iliyoanza preseason tokea tarehe 1/8 , wamecheza mechi za kirafiki 6 kujiweka sawa na iyo imechagizwa na logo yao kumalizika mapema kabisa mwezi wa 6.

Hivyo ni timu ambayo imeshajiset kimuunganiko na kimaandalizi pia, yanga yenyewe ndo mechi ya kwanza ya maana ya kirafiki ambayo imewapa mwanga waanzie wapi kurekebisha panapovuja,,mda wa maandalizi kwa yanga aukuwa rafiki kutokana na ligi yetu pia kuchelewa kumalizika.

Isingewezekana eti unaanza maandalizi moja kwa moja kwa kucheza mechi za kirafiki iyo kitu aipogo duniani kwa kocha yeyote, maana kuna wajinga wengine wamekomaa na yanga kutocheza mechi za kirafiki wakati kitaalam lazima uanze na mazoezi ya viungo, utimamu wa mwili na mazoezi mengine magumu ya kuuandaa mwili vizuri kwaajili ya mechi zenyewe, hivyo kwa muda huo yanga isingeweza kucheza mechi yoyote ya kirafiki kabla awaajamaliza program husika.

Tayari jana tumeona yanga imefanya usajili bora kabisa kinachofata ni muunganiko na match fitness kwa wachezaji watakuwa wameiweka timu sawa kwa ajili ya mashindano, timu wanayo tena kabambe wasitolewe kwenye njia na wapuuzi wachache wanaotumika na wasiojielewa.
....Well said mkuu, wananchi tunakuelewa sana..Wacha makorokoro fc wanaojifanya wanajua sana masuala ya ufundi waendelee kubwabwaja. Tutakutana nao uwanjani
 
Yanga inahitaji muunganiko tu,ile game ya jana wachezaji wenyewe hata wiki hawajakaa pa1,wachezaji waliobaki morocco walifika juzi Tz kujiunga na wenzao,yale matokeo ya kufungwa yameisaidia sana Yanga kwa kujua wanatakiwa wawe serious kinamna gani
Lakini ukweli unabaki pale pale kwamba mmefungwa siku ya Mwananchi day, siku simba ilikua inacheza na FA rabat mechi ya majaribio sio ya Simba day. kipindi cha kwanza Utopolo mlipiga sana kelele kwamba tumefungwa. sasa inakuaje mnaanza kujitetea kufungwa siku muhimu ya mwananchi.
 
Wanakwambia ile ni mechi tu ya kirafiki atuwezi kuumia nafsi,swali linakuja,"kwanini mlishangilia Makambo alipofunga goli?
Kama mlipofunga mlishangilia ndo hivyohivyo mkifungwa mtaumia nafsi.
"uwezi kuukimbia ukweli abadan"
 
Tatizo la Yanga ni kuwekeza ktk propaganda zaidi. Haiwezekani ligi imeisha CAF walitoa ratiba kuwa round ya awali itaanza mapema 12/09 kwanini hukujiandaa huku unajua una kundi kubwa la wachezaji umewaacha. Ukachomoa kupeleka full timu Kagame ila cha kushangaza hata kuondoka kwenda pre-season walichelewa. Matokeo yake baada ya siku 5 wanarudi. Kwa timu yenye mipango na malengo yanga day ingepelekwa mbele kumpa kocha muda zaidi kukaa preseason kumalizia ratiba aliyopanga. Mbona azam wao wamepotezea siku ta tamasha lao.
Kinachokwenda kutokea ni kuwa ktk pressure kubwa sasa ndani ya siku hizi 11 kabla game na Rivers. Kocha anaweza kuwa na sababu kuwa timu haijapata preseason kikamilifu.
 
Yanga hatuna sababu ya msingi kujitetea, viongozi ndio wa hovyo. They are very disorganised
 
Kuna baadhi ya mashabiki oya oya na wale wa makoro koro FC wanataka kutumia mechi ya yanga ya jana kufungwa Kama kichaka cha kueneza propaganda ya kuwa yanga imesajili vibaya.

Watu hao nafikiri hawako timamu kwenye masuala ya kuangalia timu kiufundi bali wanasukumwa na mihemuko aidha ya chuki binafsi au kutokuelewa mpira wenyewe unaochezwa.

Yanga jana imecheza na timu bora inayotoka ligi bora nchini Zambia, yanga imecheza na timu iliyoanza preseason tokea tarehe 1/8 , wamecheza mechi za kirafiki 6 kujiweka sawa na iyo imechagizwa na logo yao kumalizika mapema kabisa mwezi wa 6.

Hivyo ni timu ambayo imeshajiset kimuunganiko na kimaandalizi pia, yanga yenyewe ndo mechi ya kwanza ya maana ya kirafiki ambayo imewapa mwanga waanzie wapi kurekebisha panapovuja,,mda wa maandalizi kwa yanga aukuwa rafiki kutokana na ligi yetu pia kuchelewa kumalizika.

Isingewezekana eti unaanza maandalizi moja kwa moja kwa kucheza mechi za kirafiki iyo kitu aipogo duniani kwa kocha yeyote, maana kuna wajinga wengine wamekomaa na yanga kutocheza mechi za kirafiki wakati kitaalam lazima uanze na mazoezi ya viungo, utimamu wa mwili na mazoezi mengine magumu ya kuuandaa mwili vizuri kwaajili ya mechi zenyewe, hivyo kwa muda huo yanga isingeweza kucheza mechi yoyote ya kirafiki kabla awaajamaliza program husika.

Tayari jana tumeona yanga imefanya usajili bora kabisa kinachofata ni muunganiko na match fitness kwa wachezaji watakuwa wameiweka timu sawa kwa ajili ya mashindano, timu wanayo tena kabambe wasitolewe kwenye njia na wapuuzi wachache wanaotumika na wasiojielewa.
Kila mwaka wewe unatengeneza team
 
Kama mwaka jana, kazi kwenda Airport kwa mapokezi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
....Well said mkuu, wananchi tunakuelewa sana..Wacha makorokoro fc wanaojifanya wanajua sana masuala ya ufundi waendelee kubwabwaja. Tutakutana nao uwanjani
Kama kapumbu alivyokupelekea Moto mnyama ndo utamweza
 
Naona hujui maana ya pre-season,mechi ya jana ni mojawapo ya match za pre-season na Yanga bado ina siku wiki na siku kadhaa kabla ya kuanza mechi za kimashindano,bado wanaweza kucheza match hata za majaribio hata 3 kabla ya klabu bingwa,kwa jana sina cha kuwalaumu,imagine wachezaji wengine wa Yanga wamefika juzi mchana kutoka morocco,wengine walikua dar toka j4 last week,cha kushauri hizi siku chache zilizobaki wasifanye masihara,ikiwezekana waipeleke.timu zambia au uganda wakapate match sahihi za majaribio kabla ya tarehe 12
Unajua teams za taifa lini zinamaliza mechi,mlipoteza muda na ujinga wa kagame cup na kwe da kufanya jogging marrakech
 
Yanga will bring africa champion cup
Huu ndo ukweli

Kuna watu watarudi ku cheki this sms mwisho wa mwaka

Najua mtabisha and some ones Will say i’m dreaming my bro’s lets me tell you the trueth this here young africa will bring africa cup
 
Naona hujui maana ya pre-season,mechi ya jana ni mojawapo ya match za pre-season na Yanga bado ina siku wiki na siku kadhaa kabla ya kuanza mechi za kimashindano,bado wanaweza kucheza match hata za majaribio hata 3 kabla ya klabu bingwa,kwa jana sina cha kuwalaumu,imagine wachezaji wengine wa Yanga wamefika juzi mchana kutoka morocco,wengine walikua dar toka j4 last week,cha kushauri hizi siku chache zilizobaki wasifanye masihara,ikiwezekana waipeleke.timu zambia au uganda wakapate match sahihi za majaribio kabla ya tarehe 12
Hiyo wiki na siku unaihesabu vipi, wachezaji wanaenda timu za taifa hadi tarehe 8, tarehe 12 mechi na wanaijeria. I think yanga hawajapiga hesabu zao sawa, all in all lengo la GSM limetimia, kazi ipo kwa wenye timu sasa.
 
Hiyo wiki na siku unaihesabu vipi, wachezaji wanaenda timu za taifa hadi tarehe 8, tarehe 12 mechi na wanaijeria. I think yanga hawajapiga hesabu zao sawa, all in all lengo la GSM limetimia, kazi ipo kwa wenye timu sasa.
Ni kweli kuna nafasi finyu sana ya maandalizi
 
Lakini ukweli unabaki pale pale kwamba mmefungwa siku ya Mwananchi day, siku simba ilikua inacheza na FA rabat mechi ya majaribio sio ya Simba day. kipindi cha kwanza Utopolo mlipiga sana kelele kwamba tumefungwa. sasa inakuaje mnaanza kujitetea kufungwa siku muhimu ya mwananchi.
Mshawahi kufungwa na zesco kwenye tamasha kama lile
 
Back
Top Bottom