Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
akikujibu ni tag mkuuMbona unazungumzia mashindano 2 tofauti mkuu
Yanga alifika fainali ya shirikisho Simba robo fainali ya klabu bingwa Afrika
Ni sawa na uifananishe UEFA na EUROPA
Ni lini mara ya mwisho Yanga iliingia robo fainali ya klabu bingwa?
Niwaite IhefuHiyo hiyo
😁😁 sio level zetu hao waite Al ahlyNiwaite Ihefu
Unateseka ukiwa wapi broo?Ihefu ndio tumaini lenu? Hata Manchester City aliwahi kufungwa na timu inayoshiriki daraja la pili Preston
Kama ulivyoamua huku kuitafuta furaha huku unaumia moyoni upande ule pia ungeitafuta furaha maana jezi zao wote ni migomba!Matokeo ya mechi za AFL ni ushahidi tosha kuwa Waarabu wanatawala sana soka la Afrika na kwa sasa ni timu za Yanga na Mamelodi pekee zinazoweza kuleta heshima ya mtu mweusi katika soka letu.
NB: Enyimba (timu jina kama ilivyo Simba) anaecheza na Wydad Casablanca muda huu, ameshakula tatu mpaka sasa wakati hata kipindi cha kwanza hakijaisha (aibu inatunyemelea)
Kwani Yanga inashiriki AFL? Itawezaje kurudisha heshima wakati haikuteuliwa kabisa kutokana na kutokuwa na vigezo? Yaani unaangalia mechi ya AFL, halafu unasema Yanga itarudisha heshima! Kweli huko wapo wawili tu!Matokeo ya mechi za AFL ni ushahidi tosha kuwa Waarabu wanatawala sana soka la Afrika na kwa sasa ni timu za Yanga na Mamelodi pekee zinazoweza kuleta heshima ya mtu mweusi katika soka letu.
Duhh...Matokeo ya mechi za AFL ni ushahidi tosha kuwa Waarabu wanatawala sana soka la Afrika na kwa sasa ni timu za Yanga na Mamelodi pekee zinazoweza kuleta heshima ya mtu mweusi katika soka letu.
NB: Enyimba (timu jina kama ilivyo Simba) anaecheza na Wydad Casablanca muda huu, ameshakula tatu mpaka sasa wakati hata kipindi cha kwanza hakijaisha (aibu inatunyemelea)
Kolo...Akili za mashabiki wa Yanga za kisenge sana
Yani timu yao inatolewa klabu bingwa inaenda kucheza shirikisho wakihesabika ni losers wa klabu bingwa, wanafika fainali wanafungwa na timu ambayo haikuwa hata kwenye klabu bingwa USM Alger wanajiona bora
Ni dharau sana klabu iliyokuwa mashindano makubwa ya klabu bingwa kufungwa na klabu ambayo umeikuta kwenye shirikisho
Kwa maneno rahisi: Timu kubwa jinga(Yanga) alifungwa na katimu kadogo kashirikisho (USM Alger)
Wanaoteseka ni makolo sio wananchiUnateseka ukiwa wapi broo?
Ihefu haooooo,🤣🤣🤣Wanaoteseka ni makolo sio wananchi
😄😄Ihefu haooooo,🤣🤣🤣
Tumekufa kiumeUzi Tayari????????
Ndio fainali yenu hii ya AFL?
Wewe hiyo fainali ya Shirikisho umefika lini?Mbona unazungumzia mashindano 2 tofauti mkuu
Yanga alifika fainali ya shirikisho Simba robo fainali ya klabu bingwa Afrika
Ni sawa na uifananishe UEFA na EUROPA
Ni lini mara ya mwisho Yanga iliingia robo fainali ya klabu bingwa?
Rekodi zipi,hizi za kuloga mchana hadharani ugenini na kufa kiume?Heading inazungumzia CAF
Lini mara ya mwisho Yanga alifika robo fainali kwenye mashindano ya CAF Champions League kama Simba?
Hayo ndio mashindano makubwa hapa Africa
Nyie mlicheza fainali ya CAF Confederation Cup ambayo ni mashindano madogo ukilinganisha na CAF Champions league
Kimataifa Yanga bado sana kuzifikia rekodi za Simba
MbumbumbuYanga hii hii ya kunyonyolewa na Ihefu au kuna nyingine ipo mbioni kuanzishwa????
MbumbumbuKachukueni heshima yenu kwa ihefu kwanza.
NapitaKamaRadi
Huyo timu ndogo Algers kamfunga bwana wako uliekufa kiumeAkili za mashabiki wa Yanga za kisenge sana
Yani timu yao inatolewa klabu bingwa inaenda kucheza shirikisho wakihesabika ni losers wa klabu bingwa, wanafika fainali wanafungwa na timu ambayo haikuwa hata kwenye klabu bingwa USM Alger wanajiona bora
Ni dharau sana klabu iliyokuwa mashindano makubwa ya klabu bingwa kufungwa na klabu ambayo umeikuta kwenye shirikisho
Kwa maneno rahisi: Timu kubwa jinga(Yanga) alifungwa na katimu kadogo kashirikisho (USM Alger)
Vigezo gani hivyo vilivyoanishwa au ndio hivi vya wakina Mazembe,Enyimba kufa nyingi na wewe ukifa kiume?Kwani Yanga inashiriki AFL? Itawezaje kurudisha heshima wakati haikuteuliwa kabisa kutokana na kutokuwa na vigezo? Yaani unaangalia mechi ya AFL, halafu unasema Yanga itarudisha heshima! Kweli huko wapo wawili tu!