Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

Kwani deni ni hasara au sehemu ya mtaji?
Deni ni sehemu ya mtaji, sasa huwezi kusema umeanza kupata faida wakati bado mtaji haujarudi.

Ulikuwa na 50,000. Ukaomba mkopo wa 30,000 ili kuendesha biashara. Ukipata fedha za mauzo 70,000 huwezi kuiita profit sababu bado mtaji haujaruda.

Turudi pale pale ktk tafsir ya faida, faida ni nini?
 
kama uta post taatifa yote ya fedha tutakuelewesha , kwa mfano huo mkopo ni wa muda Gani? gharama za mkopo(Riba+rejesho la mkopo)?
 
Tutumie akili tu ya kimaisha ya kawaida, una 50,000 ya kuuza mayai kama mtaji, umezunguka mtaani ukarudi na mauzo ya 20,000 Utasema kuwa umepata faida ya 20,000? Faida tunaanza kuihesabu pale ambapo kile ulichowekeza kimepitwa na mauzo, kile kilichozidi kutoka kwenye mauzo ndio faida.
 
Deni linaingiza sehem ya source of income, likilipwa linaingia kama liability, ni matumizi, ni pesa imetoka.

Huwezi kusema umepata faida wakati mauzo hayajafikia na kuzidi chanzo cha mapato.
 
Au tutumie mfano huu.
Nimekusanya 100000
Matumizi yangu ni 125000
Kwa hiyo nikakopa 25000 ili matumizi yangu niweze kutimiza.

Katika kutumia hayo matumizi nikatumia 120000
Ikabaki 5000.
Je hiyo 5000 iliyobaki tunaweza kusema ni faida?
Kumbuka ile 25000 niliyokopa sijarudisha.
 
Jamani kuna somo la financial literacy (tafsiri isiyo rasmi huduma za fedha) yanafundishwa bure tusome kidogo itakusaidia kuepuka aibu kama ya hii post
Mimi nimesoma financial management nikiwa Diploma, lete facts tuzijadili hapa. Mkopo ukiingia kama sehemu ya mapato, unapaswa uonekane upate wa matumizi vile vile wakati wa kulipwa.

Tuongee kwa hoja tuweke ushabiki pembeni.
 
Wamewalaghai. mkopo hauwekwi kwenye mapato ili kuangalia faida. Mkopo unatakiwa kuonekana kwenye balance sheet ambayo inaonesha mali zinazomilikiwa na club dhidi ya madeni ya club.
Kiujumla wamewapiga na kitu kizito kwenye utosi
Hata hapo hapo ingeweza tu kuonesha, sio lazima iwe balance sheet. Kwenye difference in accounts ilipaswa kusoma NEGATIVE na sio positive.
 
kama uta post taatifa yote ya fedha tutakuelewesha , kwa mfano huo mkopo ni wa muda Gani? gharama za mkopo(Riba+rejesho la mkopo)?
Hizi taarifa ndo viongozi waangepaswa wazionyeshe.
 
Mfanyabiashara mwnye deni la milion 10 benki hana haki ya kufurahia faida ya lako mbili mpaka amalize deni au siyo??sometimes tufiche ujinga wetu,mkopo haulipwi mara moja,
Sasa kama una akili timamu unafurahi vipi wakati una deni? Huu upumbavu wa kiwango cha lami.
 
Hujajibu swali ila umepiga ramli.
 
Naomba kufahamu ukiwa na deni huwezi kupata faida? utalipa vipi deni kama biashara yako haina faida?
 
Mnapata tabu Mwenyekiti wenu huko Kolo FC kasema bajeti ya timu msimu huu ni bil 23,huku thamani ya Simba ni bil 20.

Vp hapa hebu tuchambulie yaani bajeti ya msimu mmoja inazidi thamani ya timu.
 
Mnapata tabu Mwenyekiti wenu huko Kolo FC kasema bajeti ya timu msimu huu ni bil 23,huku thamani ya Simba ni bil 20.

Vp hapa hebu tuchambulie yaani bajeti ya msimu mmoja inazidi thamani ya timu.
Thamani ya Simba lini ilikuwa ni Bilioni 20?
 
Naomba kufahamu ukiwa na deni huwezi kupata faida? utalipa vipi deni kama biashara yako haina faida?
Kabla sijakujibu ngoja nikueleze kitu. Kuna makosa kwenye hii Revenue and expenditure sheet. Mkopo umewekwa kama revenue.
Kwenye finance and accounting hakuna kitu kama hiki ni makosa.
Kwa sababu ya definition ya loan
The term loan refers to a type of credit vehicle in which a sum of money is lent to another party in exchange for future repayment of the value or principal amount. In many cases, the lender also adds interest or finance charges to the principal value, which the borrower must repay in addition to the principal balance.
Kwa maana hii ni kwamba mkopo siyo mapato. Hapo kwa yanga wanaonyesha kuwa mkopo ni mapato.
Kitu ambacho hakipo kabisa katika hesabu za kifedha.

Mkopo unakuja kuonekana kama expense pale unapoanza kulipwa.
Kujibu swali lako la
Naomba kufahamu ukiwa na deni huwezi kupata faida?
Jibu ni ndiyo unaweza kupata faida.
Kwa case ya yanga wangetuambia wana faida kama wangelipa hilo deni la billion 4.8 kisha wakabakiwa na million 500 kitu ambacho hakipo.. Kulingana na hesabu yao.

Swali la pili.
utalipa vipi deni kama biashara yako haina faida?
Kwa case ya yanga wangeanza kupunguza hilo deni kwa kulipa hiyo 500 million ambayo wanatudanganya ni faida.
 

Attachments

  • 1687605095295.jpg
    132.2 KB · Views: 2
Mnapata tabu Mwenyekiti wenu huko Kolo FC kasema bajeti ya timu msimu huu ni bil 23,huku thamani ya Simba ni bil 20.

Vp hapa hebu tuchambulie yaani bajeti ya msimu mmoja inazidi thamani ya timu.
Hii post iko ki uhasibu zaidi.
Kama unaleta ushabiki maandazi hapa utapata tabu.
Mkopo siyo mapato.
Mkopo ni liability.
 
Hii post iko ki uhasibu zaidi.
Kama unaleta ushabiki maandazi hapa utapata tabu.
Mkopo siyo mapato.
Mkopo ni liability.
Ya kihasibu kutoka kwenye vyanzo vipi? Sioni hapo risiti au references za mapato na matumizi zaidi ya ushabiki.

Sasa ina tofauti gani na hii 23bil bajeti, huku mwakezaji akinunua timu kwa 20bil au hapa uhasibu hauingii.
 
Hapo number 2 deni si linalipwa mda wa marejesho ukifika? hio 500M ni sehemu ya mtaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…