joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
So pesa iliyo baki baada ya matumizi kwa mujibu wako unaiitaje?Milioni 500 ndicho kilichobaki ktk club yetu ya Yanga, sasa pesa iliyobaki after matumizi sio lazima ndo iwe faida. Rais amekuja kutupiga changa la macho hapo.
Maana hata hili halii hitaji degree labda kama unataka ligi.Maana kiswahili kila siku kinakua unaweza kuongeza msamiati mwengine.