Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

uwezo wako wa kuelwa hesabu ni mdogo,kuwa na deni hakukufanyi usipaye faida,na faida haikokotolewi kutoka kwenye mkopo,faida ni faida na mkopo ni mkopo,ndio maana unaweza kukuta una mkopo wa miaka 30 au 40 na utakuwa na loan repayment kutokana na mkataba wako,so kama hujui kitu kaa kimya
Sawa...hapo kuna loan repayment?
 
thamani ya simba aliyolipa MO hizo 20b kwa 49% share sio ya mwaka 2021 mkuu......
rudi ufuatilie tathmini ya thamani ya simba ilifanyika lini, na MO aliingia makubaliano ya uwekezaji na Simba kipindi hiko hiko, ndio maana akawa anaweka pesa yake pale Simba......

wakati MO anaingia pale Simba kama mwekezaji walikua hawajawahi kanyaga CAF QF, ni kipindi ambacho Simba ilikua ombaomba,..... alipoingia yeye na tathmini kufanyika ndio wakaanza kupata mafanikio (hayo wanayojivunia), wakaanza kuboresha uwanja wao kule bunju.....etc,

kiufupi thaman ya Simba leo inaweza kuwa ni mara tatu au zaidi...

NB/ mwekezaji atakayeenda Yanga leo akitaka kununua hisa 49% za Yanga hii ya leo, usishangae akaambiwa alipe bili 40 au 50 kabisa.......,

Metl na GSM wapongezwe kwa kuinua thaman ya hivi vilabu...... wameweka pesa zao nyingi hapo (japo wameiba pia maana hizo timu ni kubwa ila zilikuwa na viongozi mbumbumbu)
Mo alivyo ingia kulikuwa na michakato ya kuithaminisha Simba na baadae wakailalamikia serikali inawachelewesha,ila rasmi ilikuwa 2021 na Mo akakabizi mfano wa hundi wa bil 20 kwa Simba. Lkn kipindi chote kulikuwa na michakato na process za kubadilisha mifumo ya jinsi ya kuiendesha Simba na kuithaminisha.

Hata hili nalo unataka ligi........?
 
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

View attachment 2669309

Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Au ni kujisahulisha tu lakini lazima deni lilipwe mwaka mwingine wa fedha.

Sasa tuingie kwenye elimu ya finance and accounting.

Swali la msingi hapa
IS LOAN A REVENUE?
No, a loan is not a revenue. Revenue is the income that a company generates from its normal business activities, such as selling goods or services. A loan is a liability, which is a debt that a company owes to another party. The interest that is paid on a loan is an expense, not a revenue.

Hitimisho: MKOPO SIYO MAPATO.

mikopo huwa na masharti ya kulipa,so kutangaza faida wakati una mkopo mahali sio dhambi ilhali wewe na aliyekupa mkopo mliwekeana taratibu za namna gani ya kulipa...madrid,man utd nk huko ulaya wanatangazaga faida zao kwa mwaka huku wakiwa bado wana madeni kwenye mabenki mbali mbali kwa ajili ya maswala kama ya usajili au ujenzi wa viwanja lkn hiyo mikopo haiwazuii kutangaza faida au hasara kwasababu mikopo hiyo ina makubaliano ya namna ya kulipa...
 
alilipa mwaka gani?

dodoma viwanja 50x50 mwaka 2015 ilikua less than 10M...

leo eneo lile lile unaweza pata uwanja wa ukubwa huo kwa bei hio hio?
MO kawekeza Simba ikiwa hata mishahara haiwezi lipa.

Leo hii thamani ya Simba imeongezeka zaidi ya Mara 2, japo haina assets za hiyo thamani
 
20bil 2021 for 49% then 23bil per year in 23/24 bajeti ya timu,sijui labda kwako ina make sense kwako.
thamani ya 20b kwa 49% ilikua ni mwaka 2018 (see attachment), ndio mwaka makubaliano yalipofanyika......

2021 alipoonesha hundi (hundi fake tuseme) ilikua na maana na upande wa club nao watakua wamemaliza mchakato wao wa uuzaji shares zile 51%......

kiuhalisia MO hajaweka hizo hela, kwa sababu upande wa wanachama bado hatujui nani anamiliki hizo 51% na kwa njia ipi........, lkn ikitokea mchakato ukakamilika upande wa wanachama MO atatakiwa kulipa 20b kwa 49% as per 2016-18 agreement
Screenshot_20230627-120916.jpg
 
thamani ya 20b kwa 49% ilikua ni mwaka 2018 (see attachment), ndio mwaka makubaliano yalipofanyika......

2021 alipoonesha hundi (hundi fake tuseme) ilikua na maana na upande wa club nao watakua wamemaliza mchakato wao wa uuzaji shares zile 51%......

kiuhalisia MO hajaweka hizo hela, kwa sababu upande wa wanachama bado hatujui nani anamiliki hizo 51% na kwa njia ipi........, lkn ikitokea mchakato ukakamilika upande wa wanachama MO atatakiwa kulipa 20b kwa 49% as per 2016-18 agreementView attachment 2670225
Screenshot_20230627_113850_Chrome.jpg

So mauziano yalifanyika mara mbili.
 
Mo alivyo ingia kulikuwa na michakato ya kuithaminisha Simba na baadae wakailalamikia serikali inawachelewesha,ila rasmi ilikuwa 2021 na Mo akakabizi mfano wa hundi wa bil 20 kwa Simba. Lkn kipindi chote kulikuwa na michakato na process za kubadilisha mifumo ya jinsi ya kuiendesha Simba na kuithaminisha.

Hata hili nalo unataka ligi........?
nimekujibu post ya juu hapo, utaona ni lini MO alikubali kulipa hizo 20b (ilikua 2018)......kisheria hata kesho akitakiwa kukabidhi hizo pesa za 49% atakabidhi 20b (as nina uhakika hajalipa mpk leo, maana upande wa wanachama bado hawajaweka zao),

yale makubaliano ya 2018 ni legal binding, ndio mana MO kila wakati akibanwa huwa anarejea yale makubaliano....... (achana na sarakasi za 2021 na hundi ya mchongo)...........

wabongo mikataba huwa tunashikwa sana, ndicho alichofanya MO kwa simba!
 
nimekujibu post ya juu hapo, utaona ni lini MO alikubali kulipa hizo 20b (ilikua 2018)......kisheria hata kesho akitakiwa kukabidhi hizo pesa za 49% atakabidhi 20b (as nina uhakika hajalipa mpk leo, maana upande wa wanachama bado hawajaweka zao),

yale makubaliano ya 2018 ni legal binding, ndio mana MO kila wakati akibanwa huwa anarejea yale makubaliano....... (achana na sarakasi za 2021 na hundi ya mchongo)...........

wabongo mikataba huwa tunashikwa sana, ndicho alichofanya MO kwa simba!
Duu haya ila nilicho kiona mimi 2021.
 
View attachment 2670230
So mauziano yalifanyika mara mbili.
hapana,
mara ya kwanza 2017 MO alitaka 51%, akaja akaishia 50%..... serikali ikaingilia kati kusema wanachama ndio watatakiwa kuwa majority shareholders...... ndipo ikakubaliwa yeye achukue 49%,,,, angalia attachment hapo chini..... ningeleta link ila naogopa ban,

kwaio ishu ya simba na mo ilimalizika 2018 , kilichobaki ni utekelezaji, na wenye shida ni upande wa wanachama..... ndio mana mwaka majuzi-2021- mo akaja na hundi ya mchongo...... i think alitaka kuwapa pressure kina mangungo wamalizane haraka.........

again, ushahidi wa kimazingira unaonesha MO hajaweka zile 20b kwenye account ya klabu (or kampuni whatever you call it)...... lakini still kisheria hata mwakani akiambiwa aingize pesa ataingiza 20b (kwa makubaliano ya 2018),

kwa sasa ni kama anawakopesha simba pesa zake, na yeye kwa njia hio anaongeza thamani ya hisa zake na kupata platform ya kutangaza biashara zake...... its a win win situation kwake!
Screenshot_20230627-120217.jpg
 
Mwaka ulioishia 2022 NMB ilikuwa na deni la 6 Trillion na ilipata faida ya 432 Billion. Kuwa na deni hakuathiri taasisi kupata faida. Alichokisoma president mbele ya wajumbe yuko sahihi kabisa ingawa inaweza isiwe kwa asilimia zote
 
Mwaka ulioishia 2022 NMB ilikuwa na deni la 6 Trillion na ilipata faida ya 432 Billion. Kuwa na deni hakuathiri taasisi kupata faida. Alichokisoma president mbele ya wajumbe yuko sahihi kabisa ingawa inaweza isiwe kwa asilimia zote
Asante kaka kwa reference nzuri.

mike2k vipi hapa huyu naye una mkatalia maana NMB kuna watu wana CPA,ACCA au nao hawakuliona.
 
hapana,
mara ya kwanza 2017 MO alitaka 51%, akaja akaishia 50%..... serikali ikaingilia kati kusema wanachama ndio watatakiwa kuwa majority shareholders...... ndipo ikakubaliwa yeye achukue 49%,,,, angalia attachment hapo chini..... ningeleta link ila naogopa ban,

kwaio ishu ya simba na mo ilimalizika 2018 , kilichobaki ni utekelezaji, na wenye shida ni upande wa wanachama..... ndio mana mwaka majuzi-2021- mo akaja na hundi ya mchongo...... i think alitaka kuwapa pressure kina mangungo wamalizane haraka.........

again, ushahidi wa kimazingira unaonesha MO hajaweka zile 20b kwenye account ya klabu (or kampuni whatever you call it)...... lakini still kisheria hata mwakani akiambiwa aingize pesa ataingiza 20b (kwa makubaliano ya 2018),

kwa sasa ni kama anawakopesha simba pesa zake, na yeye kwa njia hio anaongeza thamani ya hisa zake na kupata platform ya kutangaza biashara zake...... its a win win situation kwake!View attachment 2670237
MO aliweka pesa ila zilirudi kwake sababu MO anawadai Simba, hata misimu 2 nyuma MO katoa Bilioni 7 kusapoti bajeti ya Simba.

Hivyo MO anawadai Simba pesa nyingi kuliko alizotoa
 
Mwaka ulioishia 2022 NMB ilikuwa na deni la 6 Trillion na ilipata faida ya 432 Billion. Kuwa na deni hakuathiri taasisi kupata faida. Alichokisoma president mbele ya wajumbe yuko sahihi kabisa ingawa inaweza isiwe kwa asilimia zote
Hebu thibitisha hili swala lako.
Vinginevyo hujui maana ya faida
 
Hebu thibitisha hili swala lako.
Vinginevyo hujui maana ya faida
Nithibitishe lipi kati ya niliyoandika mkuu? Kwamba Nmb haikuwa na hilo deni? Kwamba haikupata hiyo faida.

Je wewe mtaalamu wa hesabu unaifahamu Cashflow statement?
 
Nithibitishe lipi kati ya niliyoandika mkuu? Kwamba Nmb haikuwa na hilo deni? Kwamba haikupata hiyo faida.

Je wewe mtaalamu wa hesabu unaifahamu Cashflow statement?
NMB haina hilo deni tajwa
 
mkuu, kiuendeshaji Yanga hajapata faida, ila ana hasara ya bil 4.3+....

mapato yote ya yanga kibiashara (yaliyotokana na biashara wanayofanya) ni bil 13,
matumizi kwa mwaka husika ni bil 17.3......

sasa, baada ya kuona matumizi ni makubwa kuliko mapato, wamekopa bil 4.8... ili kufidia nakisi ya hio hesabu,......

haya, niambie, kibiashara kuna faida hapo?
Hata kama sijasoma finance hapa unanidanganya
 
Ujifunze ya nyoko,
Ungetaka kujifunza usingeanza na kuandika dharau kqa Yanga, ungeuliza inakuaje timu inadaiwa lakini inapata faida? Hapo ndio wataalam tungekuelimisha. Kolo wewe mwenye masikio kama upawa wa kuchotea makande.
Utopolo yenu matusi kama waimba taarabu
 
Back
Top Bottom