mkuu, kiuendeshaji Yanga hajapata faida, ila ana hasara ya bil 4.3+....Hapo number 2 deni si linalipwa mda wa marejesho ukifika? hio 500M ni sehemu ya mtaji
thamani ya simba leo sio bil 40 (maana MO alilipa 20b kwa 49% ya hisa, na hii ilikua mwaka 2016 huko).....Sasa chanzo kama rais wa Yanga,hata mimi chanzo nilicholeta nimekitoa kwa CEO wa Simba vip kwa hesabu za kihasibu zipo sawa thamani ya timu ni ndogo kuliko bajeti ya msimu mmojawa timu au hii haikuhusu sababu ni ya Simba au ndio tuichunie.
Mimi sio muhasibu, ila kwenye kukopa haina maana faida yote utairudisha kwenye kulipa mkopo, kwani hata huo mkopo unalipwa kwa awamu.Halafu uhasibu ni hesabu za kawaida ndio hatujui Asset,ledger,trial balance ila ni vitu vina eleweka hamna mule Calcus, Trigometry au complex numbers.
Ila unataka kufanya mambo makubwa.
Mkuu, mkopo una process za kulipwa mpaka uite faida? Mkopo apo ni 4B na hakuna hatua yoyote ile inayoonesha linalipwa.Mkuu kwani ni lazima kutumia faida yote kulipa deni mpaka limalizike ndio uanze kuhesabu faida, si unaweza kutumia sehemu ndogo tu ya faida kulipunguza kidogo kidogo?.......Kuna mikopo ya kulipwa kwa kipindi kirefu tena kidogo kidogo tu.
Ni sawa, lakini sio lazima utumie sehemu yote ya faida kulipa huo mkopo eti sababu una deni.Mkuu, mkopo una process za kulipwa mpaka uite faida? Mkopo apo ni 4B na hakuna hatua yoyote ile inayoonesha linalipwa.
Okay sawa,sijui labda nyie kwa mtizamo wenu hisa 49% 20bil,matumizi ya club per 23bil basi mpo vizuri.MO alinunua hisa asilimia 49 tu kwa billion 20, hakuinunua Simba.
Kwa kipindi kile ilikuwa sawa ila kwa sasa hisa zitakuwa zimepanda hivyo hakuna tatizo hapo.Okay sawa,sijui labda nyie kwa mtizamo wenu hisa 49% 20bil,matumizi ya club per 23bil basi mpo vizuri.
Kwani hisa zimenunuliwa lini na Mo,maana kumbukumbu zangu zinaniambia ni 2021.thamani ya simba leo sio bil 40 (maana MO alilipa 20b kwa 49% ya hisa, na hii ilikua mwaka 2016 huko).....
utaona mwaka 2016 huku thamani ya Simba ilikua 40b,......
fast foward miaka 6 mbele, thamani ya Simba bado imebaki ni ile ile? tupe jibu....
ukitaka kulinganisha thamani ya timu vs bajeti, itakua sahihi ukilinganisha thamani ya simba 2016 vs bajeti ya simba 2016.........
Hata zikipanda still bado hai make sense.Kwa kipindi kile ilikuwa sawa ila kwa sasa hisa zitakuwa zimepanda hivyo hakuna tatizo hapo.
Kivipi ?Hata zikipanda still bado hai make sense.
20bil 2021 for 49% then 23bil per year in 23/24 bajeti ya timu,sijui labda kwako ina make sense kwako.Kivipi ?
Haina tatizo kabisa, thamani ya hisa kipindi hicho ilikuwa 20b kwa sasa haziwezi kuwa na thamani hiyo, hata bajeti ya uendeshaji ilikuwa chini ......ila kwa Sasa bajeti ya uendeshaji imepanda.20bil 2021 for 49% then 23bil per year in 23/24 bajeti ya timu,sijui labda kwako ina make sense kwako.
hapana, hata yenye mkopo inaweza kutangaza faida.......So kampuni yenye haki ya kutangaza faida ni ile tu isiyokua na mkopo?
a loan is not a revenueProfit=Revenues-Expenses.
Sijakataa thamani kupanda ila hata iweje thamani ya hisa alizo nazo Mo hazizidi 25bil tukisema tuinclude na faida,then bajet per Yr 23bil labda kwetu bongo. Ila kwa wenzetu welio anza mapema na maswala ya hisa ukiwaambia hiki wataona ni kituko.Haina tatizo kabisa, thamani ya hisa kipindi hicho ilikuwa 20b kwa sasa haziwezi kuwa na thamani hiyo, hata bajeti ya uendeshaji ilikuwa chini ......ila kwa Sasa bajeti ya uendeshaji imepanda haina..
Thamani ya hisa 49% kipindi hicho na gharama za kuendesha timu kwa sasa hazina uhusiano wowote.
Duu wanaji-contradict wenyewe.Baada ya Yanga kusema bajeti yao ya msimu ni bln 20 makolo now jana wakabidilisha gia angani wao bajeti yao ni b 23View attachment 2670208
uwezo wako wa kuelwa hesabu ni mdogo,kuwa na deni hakukufanyi usipaye faida,na faida haikokotolewi kutoka kwenye mkopo,faida ni faida na mkopo ni mkopo,ndio maana unaweza kukuta una mkopo wa miaka 30 au 40 na utakuwa na loan repayment kutokana na mkataba wako,so kama hujui kitu kaa kimyaYanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.
Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.
Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.
View attachment 2669309
Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.
Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.
Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.
Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?
Au ni kujisahulisha tu lakini lazima deni lilipwe mwaka mwingine wa fedha.
Sasa tuingie kwenye elimu ya finance and accounting.
Swali la msingi hapa
IS LOAN A REVENUE?
No, a loan is not a revenue. Revenue is the income that a company generates from its normal business activities, such as selling goods or services. A loan is a liability, which is a debt that a company owes to another party. The interest that is paid on a loan is an expense, not a revenue.
Hitimisho: MKOPO SIYO MAPATO.
Wako tayari kudanganya kwa kuongeza namba ili mradi tu ionekane wako mbele zaidi ya YangaDuu wanaji-contradict wenyewe.
thamani ya simba aliyolipa MO hizo 20b kwa 49% share sio ya mwaka 2021 mkuu......2
So kutoka 2021 mpaka 2023 ndio imedouble?