Elimu yangu ya finance and accounting inaniambia mkopo siyo mapato.Tujikumbushe vipaumbele vya Edward Lowassa.
Mimi nakubaliana na wewe kabisa kuwa mkopo si mapato. Ila pia kutoendesha biashara kwa hasara haina maana lazima uwe na faida. Pia kuwa na mkopo haizuii taasisi kuripoti faida mwishoni mwa mwaka. Loan repayment itategemea walipata mkopo mwezi gani ili hizo repayment zionekane kwenye vitabu.Elimu yangu ya finance and accounting inaniambia mkopo siyo mapato.
Hakuna sehemu yoyote ile duniani utakutana na hicho kitu mkuu.. Ukubali ukatae hakuna kampuni yoyote duniani inaweka mkopo kama ni sehemu ya mapato..
Mkopo ukilipwa ndo utauona kwenye expenditure kama loan repayment.
We rudisha cheti ulipokitoaKwa hiyo liabilities sio madeni kwa taasisi? Basi sawa.
Huna unachoelewa endelea kupuyangaWe rudisha cheti ulipokitoa
nimekudanganya nini?Hata kama sijasoma finance hapa unanidanganya
hawa jamaa inaonekana hata biashara za kawaida kabisa hawajawahi kufanya aisee........We jamaa uelewa wako ni mdogo sana.
Ukiangalia kwenye liabilities asilimia 95 ni deposits za wateja ambazo ni Trilioni 7
Sasa mkuu Yanga hawana faida.Mimi nakubaliana na wewe kabisa kuwa mkopo si mapato. Ila pia kutoendesha biashara kwa hasara haina maana lazima uwe na faida. Pia kuwa na mkopo haizuii taasisi kuripoti faida mwishoni mwa mwaka. Loan repayment itategemea walipata mkopo mwezi gani ili hizo repayment zionekane kwenye vitabu.
Tena siyo hasara ndogo huo mkopo ni asilimia 26.9 ya matumizi. Zaidi ya robo ya matumizi yao wamekopa.nimekudanganya nini?
soma mapato ya yanga (bila mkopo maana mkopo sio mapato), alafu soma matumizi yao..... linganisha utaona matumizi yanazidi mapato kwa 4.3b.......
ina maana mkopo umekuja ku-cover operating cost...... kwa ufupi wame-operate kwa hasara!
mkuu wewe unafanya biashara gani, ili tukurahisishie hii hesabu kwa kuongelea kibiashara zaidi.....Mimi nakubaliana na wewe kabisa kuwa mkopo si mapato. Ila pia kutoendesha biashara kwa hasara haina maana lazima uwe na faida. Pia kuwa na mkopo haizuii taasisi kuripoti faida mwishoni mwa mwaka. Loan repayment itategemea walipata mkopo mwezi gani ili hizo repayment zionekane kwenye vitabu.
alafu sijui kwanini wameuweka mkopo kama mapato, ndio mara ya kwanza nasikia mkopo ni mapato!Tena siyo hasara ndogo huo mkopo ni asilimia 26.9 ya matumizi. Zaidi ya robo ya matumizi yao wamekopa.
Mhasibu wao amepuyanga hapa.
Thibitisha kuwa NMB ina madeni ya Tril 6Huna unachoelewa endelea kupuyanga
Mwaka wa mapato na matumizi wa yanga mwisho wake ni 31st april 2023.Mimi nakubaliana na wewe kabisa kuwa mkopo si mapato. Ila pia kutoendesha biashara kwa hasara haina maana lazima uwe na faida. Pia kuwa na mkopo haizuii taasisi kuripoti faida mwishoni mwa mwaka. Loan repayment itategemea walipata mkopo mwezi gani ili hizo repayment zionekane kwenye vitabu.
Uko sahihi kabisa. Jambo la muhimu kujua ni aina gani ya mkopo waliochukua.Sasa mkuu Yanga hawana faida.
Wamekusanya billion 12.5
Kwenye matumizi wakajikuta wanatumia billion 17.3
Kwa sababu kiasi cha matumizi hakitoshi wakakopa billion 4.8
Kiasi kiichobaki ni million 500
Hiki ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo huwezi kuiita faida kwa sababu siyo sehemu ya fedha yao.
Wakiamua kukitumia ni wamekula mkopo na siyo faida.
Ila kama mkopo ungelipwa au unalipwa mwaka ujao hapo hiyo m 500 kuita faida ni sawa kwa muda huu.
Na jambo lingine ni kwanini walikopa kiasi kikubwa kuliko mahitaji..
Kwenye hesabu yao walihitaji billion 4.3 wao wakakopa billion 4.8.
Kiasi kilichobaki katika mkopo ndo wamekiita faida jambo ambalo katika hesabu za kifedha lazima kizalishe maswali.
Jambo lingine ni mkopo huu haujawekwa wazi kwetu mashabiki ili tujue aina ya mkopo wenyewe.
Kama ni kweli wama bajeti billion 20 mwaka ujao.
Na kwa mwaka huu vyanzo vyao vya mapato vimeweza kukusanya billion 12.6+5 tu ina maana mwakani itawalazimu kukusanya billion 20+ ili waweze kupunguza mkopo wao wa billion 4. 8 na kutumia fedha kwa ajili matumizi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena siyo hasara ndogo huo mkopo ni asilimia 26.9 ya matumizi. Zaidi ya robo ya matumizi yao wamekopa.
Mhasibu wao amepuyanga hapa.
Nimemuwekea Statement kashindwa nionesha wapi NMB ina deni la Tril 6hawa jamaa inaonekana hata biashara za kawaida kabisa hawajawahi kufanya aisee........
Hapana chenji ya buku siyo faida😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi 500M ni faida au ni baki ya pesa baada ya manunuzi?
Ukienda kununua product ya 5,000 ukafika ukakuta inauzwa 4,000 utasema buku ni faida?
Mi nadhani faida ni ile iliyotokana baada ya bidhaa ya 5,000 kuja kuuzika, sasa chenchi ya buku nayo inaitwa faida?
Hapa umenena. Itakuwa rahisi kuzungumzia hili endapo zikiwepo final accounts za mwisho wa mwaka wà hesabu za Yanga. Sina uhakika na Hersi kama alisema timu imepata faida.Mwaka wa mapato na matumizi wa yanga mwisho wake ni 31st may 2023.
Mkuu unataka kusema hii fedha wamekopa mwezi huu wa sita?
Kwa kuheshimu mashabiki zake yanga wangeleta annual financial statements kabisa.
Ili tuweze kuona
consolidated balance sheet.
Profit and loss account.
Company balance sheet.
Ila unakubaliana na liability ya 8.5 Trillion?Thibitisha kuwa NMB ina madeni ya Tril 6