Naunga mkono hojaYanga play like big European clubs
I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na roho mbaya kutotaka kukubali,hakika yanga inaenda kuwa timu kipenzi kwa kila mwafrika kwa sababu kwa sasa ndio timu inayocheza soka la kuvutia na la uhakika kwa sasa barani Afrika na naamini wataendelea kuwa tishio zaidi na zaidi pengine kuja kufuta utawala wa Ahly after 10-15 coming years
Mpira unachezwa uwanjani, sio mdomoni na kwenye keyboard. kumbuka hata wiki mbili hazijapita, Rais wa Yanga na pia ni Rais wa Vilabu vyote Afrika alitamka hadharani kuwa fainali ya mwaka huu ya CAFCL ni kati ya Mamelodi na Al Ahly. Ingekuwa tunafuata maneno, kwa heshima ya rais wako hukutakiwa kuanzisha uzi huu maana unapingana nayeYanga play like big European clubs
I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na roho mbaya kutotaka kukubali,hakika yanga inaenda kuwa timu kipenzi kwa kila mwafrika kwa sababu kwa sasa ndio timu inayocheza soka la kuvutia na la uhakika kwa sasa barani Afrika na naamini wataendelea kuwa tishio zaidi na zaidi pengine kuja kufuta utawala wa Ahly after 10-15 coming years
wewe hukufikiria vizuri au hujui soka la afrika,kwa kundi lile jepesi na jamaa walivyobobea kwenye ulozi halafu wasingepita!!!Mimi mwenyewe mwaka huu nilisema Simba haivuki makundi, ila imevuka kwa kishindo. Hivyo ni maoni tu na hatuyapingi.
usimwamini yule mhuni tu...yeye ndiye aliyesema malengo ya yanga ni kucheza makundi...sasa hivi kikowapi!!!ungemwona nyuma ya pazia anavyoipambania timu ni dhahiri kabisa mamelodi anakomea hii robo fainali.Motsepe na makolo hawatoamini macho yaoRaisi wenu alisema fainali ni kati ya Mamelody na Al Ahly.
Leo unakuja na kipeperushi cha kuokoteza mitandaoni ambacho kimetolewa na mtu mbulula tu asiyejua hata mipango ya timu.
Injinia ambaye ndio mratibu wa kila kitu anasema fainali ni ya Mamelody na Al Ahly.
Sasa kati ya huyo shabiki na raisi wako wa Club yupi wa kumzingatia?
Yupi tumuone tahira na tumpuuze?
usimwamini yule mhuni tu...yeye ndiye aliyesema malengo ya yanga ni kucheza makundi...sasa hivi kikowapi!!!ungemwona nyuma ya pazia anavyoipambania timu ni dhahiri kabisa mamelodi anakomea hii robo fainali.Motsepe na makolo hawatoamini macho yaoMpira unachezwa uwanjani, sio mdomoni na kwenye keyboard. kumbuka hata wiki mbili hazijapita, Rais wa Yanga na pia ni Rais wa Vilabu vyote Afrika alitamka hadharani kuwa fainali ya mwaka huu ya CAFCL ni kati ya Mamelodi na Al Ahly. Ingekuwa tunafuata maneno, kwa heshima ya rais wako hukutakiwa kuanzisha uzi huu maana unapingana naye
Na ni club inayo jumuisha wachezaji toka mataifa mabalimbali Africa, and thus, why it is called Young African sports club, may be it was established for young africansYanga play like big European clubs
I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na roho mbaya kutotaka kukubali,hakika yanga inaenda kuwa timu kipenzi kwa kila mwafrika kwa sababu kwa sasa ndio timu inayocheza soka la kuvutia na la uhakika kwa sasa barani Afrika na naamini wataendelea kuwa tishio zaidi na zaidi pengine kuja kufuta utawala wa Ahly after 10-15 coming years
Yanga play like big European clubs
I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na roho mbaya kutotaka kukubali,hakika yanga inaenda kuwa timu kipenzi kwa kila mwafrika kwa sababu kwa sasa ndio timu inayocheza soka la kuvutia na la uhakika kwa sasa barani Afrika na naamini wataendelea kuwa tishio zaidi na zaidi pengine kuja kufuta utawala wa Ahly after 10-15 coming years
Mkuu kwa soka la bongo umaintain 10-15 years? Bado sana tena saanaYanga play like big European clubs
I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na roho mbaya kutotaka kukubali,hakika yanga inaenda kuwa timu kipenzi kwa kila mwafrika kwa sababu kwa sasa ndio timu inayocheza soka la kuvutia na la uhakika kwa sasa barani Afrika na naamini wataendelea kuwa tishio zaidi na zaidi pengine kuja kufuta utawala wa Ahly after 10-15 coming years
Kwani mpaka saizi anapinga kauli yake?usimwamini yule mhuni tu...yeye ndiye aliyesema malengo ya yanga ni kucheza makundi...sasa hivi kikowapi!!!ungemwona nyuma ya pazia anavyoipambania timu ni dhahiri kabisa mamelodi anakomea hii robo fainali.Motsepe na makolo hawatoamini macho yao
sasa unafikiri GSM angewapa timu ahadi ya pesa yote ile ili CRB afungwe?Kwani mpaka saizi anapinga kauli yake?
Si jana tu hapo wamesema kufika robo wao ni bonus ambayo haikuwa kwenye mipango.
Mamelody unamuona sawa na timu ulizocheza nazo?
Ngoja nikuambie kitu
Hata Al Ahly hapendi kukutana na Mamelody.
Africa hii hakuna timu ina wish kukutana na Mamelody.