Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
[emoji38][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi hakuna haja ya kushindana wapeni kombe laoKwani mpaka saizi anapinga kauli yake?
Si jana tu hapo wamesema kufika robo wao ni bonus ambayo haikuwa kwenye mipango.
Mamelody unamuona sawa na timu ulizocheza nazo?
Ngoja nikuambie kitu
Hata Al Ahly hapendi kukutana na Mamelody.
Africa hii hakuna timu ina wish kukutana na Mamelody.
Bakisha maneno we mbumbumbu wa jfKwani mpaka saizi anapinga kauli yake?
Si jana tu hapo wamesema kufika robo wao ni bonus ambayo haikuwa kwenye mipango.
Mamelody unamuona sawa na timu ulizocheza nazo?
Ngoja nikuambie kitu
Hata Al Ahly hapendi kukutana na Mamelody.
Africa hii hakuna timu ina wish kukutana na Mamelody.
haya maneno sisi wananchi hatuyahitajiYanga play like big European clubs
I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na roho mbaya kutotaka kukubali,hakika yanga inaenda kuwa timu kipenzi kwa kila mwafrika kwa sababu kwa sasa ndio timu inayocheza soka la kuvutia na la uhakika kwa sasa barani Afrika na naamini wataendelea kuwa tishio zaidi na zaidi pengine kuja kufuta utawala wa Ahly after 10-15 coming years
Naona km uliyeandika ni wewe mkuu.Yanga play like big European clubs
I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na roho mbaya kutotaka kukubali,hakika yanga inaenda kuwa timu kipenzi kwa kila mwafrika kwa sababu kwa sasa ndio timu inayocheza soka la kuvutia na la uhakika kwa sasa barani Afrika na naamini wataendelea kuwa tishio zaidi na zaidi pengine kuja kufuta utawala wa Ahly after 10-15 coming years
Haji anakalia tako moja. Mchunguze vizuriuliyeleta uzi unafanan na matako ya haji manars