Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Leo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia

Ikumbukwe kuwa Yanga Sc ndio wawakilishi pekee Kutoka Tanzania Kwenye kinyang'anyiro hiki Cha Caf Confederation Cup.

Hivyo wanawakilishi nchi yetu

Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 9:00 jioni na mchezo utakuwa live kupitia Azam Tv chaneli ya Azam Sports One HD.
Mimi kama SIMBA damu nawatakia Yanga ushindi ila naona wameshashindwa kabla ya mechi kutokana na huu utetezi wa mapema wa kocha wao... Jumbe kama hizi huu sio wakati wake! Huu ni wakati wa kujengana confidence na kupeana moyo! Ikiwezekana Yanga wawaige SIMBA! Kuiga kitu chema sio dhambi.. Ikishinda yanga imeshinda Tanzania
IMG-20221102-WA0024.jpg
 
Ikiwezekana Mkuu Waarabu wanakaba mno hata ile mechi ya wale Wasudani wangechezeshwa hivyo maana watu wanazuia muda wote na kumbuka mipira ya faulo huko KB nj kama penati ila mara nyingi Yanga hawaitumii vizuri..
Mipira ya kutengwa mpigaji si yule yule Azizi Ki, utasemaje hamuitumii vizuri wakati mna left shooter
 
Hayupo sawa nadhani ndio maana aliachwa huko Berkane sioni akicheza mpira huo unaotazamiwa kutoka kwake ni bora hata hao local wakina Ambundo na Nkane yaani huyo anabadilishwa na Kambole Mzambia nadhani tuna tatizo sehemu ila sio wa kumtoa Kambole awekwe Kisinda..
Mi hata sielewi wanampendea nini yule jamaa hahaha. Atakua anachezea mpira dawa. Hata waarabu Berkane nilishangaa sana kumchukua, japo sikushangaa mara ya pili maana kocha wakati ule alikua Ibenge kocha wake wa zamani AS Vita.

Yule hata mimi hanipati kiwango changu cha kusakata kabumbu, ana mibio tu kama kichaa na bado haina tija.
 
Mi hata sielewi wanampendea nini yule jamaa hahaha. Atakua anachezea mpira dawa. Hata waarabu Berkane nilishangaa sana kumchukua, japo sikushangaa mara ya pili maana kocha wakati ule alikua Ibenge kocha wake wa zamani AS Vita. Yule hata mimi hanipati kiwango changu cha kusakata kabumbu, ana mibio tu kama kichaa na bado haina tija.
Eeeh!
 
نویسنده متوقنحطنسسکوکطوییقثحثخقخقخقتتطوطوطوkibwana shomari متیویتزویقتیتزویثتث[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]mochwari
WABILAH taifik habib club Africain [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji517][emoji517][emoji517]
 
Back
Top Bottom