Aise. Wewe TANESCO, mimi hawa Ndezi AZAM TV, eti kuabili kifurushi inachukua dakika ishirini. Yaani hii Nchi ina upuuzi mwingi. Eti nawapigia kajamaa kananifokea kudadekiTanesco washafanya yao...hata hivyo niko pamoja na Mbeya city
Najua soon utalog off. 🤣🤣 Hizi shangwe zitakuwa zimeisha.
Unaona upumbavu wa Mauya kupoteza mipira?Mauya unamchukuliaje?
Team leo haichezi vizuri usimulaumu peke yakeUnaona upumbavu wa Mauya kupoteza mipira?
Next time piga *150*50*5#Aise. Wewe TANESCO, mimi hawa Ndezi AZAM TV, eti kuabili kifurushi inachukua dakika ishirini. Yaani hii Nchi ina upuuzi mwingi. Eti nawapigia kajamaa kananifokea kudadeki