Na ndio maana Simba kapata point 3 kirahisi kabisa kwasababu Yanga hamna kitu kabisa......ni kelele tu ndo wanaziwezaSi mlikuwa mnasema Jamaa yenu atatetema leo, mkapiga kelele hapa
Sasa hivi mmehamia kwenye gape la alama tena.. Nyie hamna uwezo wowote yaani zaidi ya kelele.
Mlikua mna babatiza in baraka mpenja's voiceHongera Simba kwa point 3 muhimu katika mchezo wa Leo na kupunguza gape LA point katika msimamo
Wewe hata makundi unayajua?Hongera kwa kuchukua kombe la robo fainali kimataifa, nasikia mnacheza na Al Ahly Fainaili.
Ni kweli Aiseee.....Hongera sana kwa ushindi Wa leoMlikua mna babatiza in baraka mpenja's voice
mmepigiwa soka la CAF mkapaki busNa ndio maana Simba kapata point 3 kirahisi kabisa kwasababu Yanga hamna kitu kabisa......ni kelele tu ndo wanaziweza
Daah....kweli maisha yanabadilika sana,Leo hii Simba ni wa kushangilia sare?Yanga wameumiaaaa wanaumiaaa na wataumiaaa mlifikiri Simba kuifunga rahis eee poleni nyeee
Kipa wao akaamua kulala🤣mmepigiwa soka la CAF mkapaki bus
Ww kaa ulie vzr sisi tulicheza ili tufunge ila ndo ikawa hvyo. Tunawacheka nyie mlioona mna kikosi bora mbona hamjamfunga mmnyama?.kweli sisi tuna kikosi kibovu sasa vipi.na mayele alosema ana deni na simba vipi bado lipo au ameongeza deni kwa juuDaah....kweli maisha yanabadilika sana,Leo hii Simba ni wa kushangilia sare?
Yaah tutajipanga kimataifa tuwe invincible kama tulivyo kwenye hii ligi ya ndani......kwetu sisi Draw ni kupoteza mchezoYani kimataifa yanga mjipange sana.
Na mwisho Wa game mkashinda....hongereni sanammepigiwa soka la CAF mkapaki bus
Wewe "kajamba nani" ndo unaona hakuna faida za kucheza kimataifa na kufika level ambazo SIMBA SC, Yule Ghalib anataka walau team iwe inaingiza chochote kwa msimu na kukuza brand ya GSM sio kutumia hela tu.Si tunataka kombe la ligi kuu....huko kimataifa hakuna timu ya tanzania itakayochukua ubingwa...Simba lini walichukua kombe lolote huko kimataifa?
Inamana Bocco, Mugalu na Sako sio tena wazuriAisee,Simba msimu ujao iache masihara isajili watu wa ukweli,Yani mechi hii ilihitaji wachezaji wazuri tu kuamua kwa usahihi...
Tunawasubili nusu fainali ya kombe la Azzam.Ww kaa ulie vzr sisi tulicheza ili tufunge ila ndo ikawa hvyo. Tunawacheka nyie mlioona mna kikosi bora mbona hamjamfunga mmnyama?.kweli sisi tuna kikosi kibovu sasa vipi.na mayele alosema ana deni na simba vipi bado lipo au ameongeza deni kwa juu