Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kikubwa hapa ni kuwa mlokua mnaona mpo juu juu mmefinywaaa. Hata kwetu ni kupoteza ila tunawachekaaa kidharau maana timu yetu si mbovu? Kwanini hamjamfunga mnyamaaaaYaah tutajipanga kimataifa tuwe invincible kama tulivyo kwenye hii ligi ya ndani......kwetu sisi Draw ni kupoteza mchezo