Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ng'ombe wamemfungia kwenye majani ya bangi watu wamemkuta amesiziNahisi labda ng'ombe wake anaumwa hajauza maziwa.🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ng'ombe wamemfungia kwenye majani ya bangi watu wamemkuta amesiziNahisi labda ng'ombe wake anaumwa hajauza maziwa.🤣
Cha muhimu bado Yanga hatujafungwa, tumelinda heshima yetu...😂😂😂Hujui lolote unajua mpole ana penalty ngapi na mayele ngapi kama sio hii tu?
Nitokee hapa
Tunawakumbusha point bado nyingi tu piganeni na kina geita.Kuwa mpole unapozungumzia wachezaji wenye kujituma na ma husler kama mpole hupaswi kuwalinganisha na waviziaji
MAKOLOKOLO msioaibisha Taifa mlifanya nini hasa zaidi ya kuzurura tu miaka minne yote klabu bingwa na kurudi home kubwatabwata kama waimba singeli [emoji848][emoji38]Huu ndio uwezo wa utopolo, huko kimataifa wanakowaza wataaibisha taifa
Dah sasa mkuu unawatag wote hao wa kazi gani? DahCha muhimu bado Yanga hatujafungwa, tumelinda heshima yetu...😂😂😂
Scars Shadeeya Ghazwat Bill ukikaidi utapigwa2 Root OKW BOBAN SUNZU Tate Mkuu
Hao ni makolo fc, nataka nione wanavyotesekaDah sasa mkuu unawatag wote hao wa kazi gani? Dah
Mwanzo mbaya kwa mayele haukuwa kwenye penati tu, kuna ile nafasi ya wazi sijui alipata ganzi gani pale mpaka akashindwa kufungaDah! Naona amepishana na gari la mshahara!
Hakika ni upepo mbaya sana huu kwa Wananchi. Ila hili gundu kalianzisha Mayele kwa kukosa ile penati.
Mkubwa amini nakuambia yanga kafa na wengi..Pole mkuu
Turudi kwenye uzi wetu pendwa tukajifariji na kujipanga kwa odd za kesho 😂
Tena angepigia kisigino bila kugeuza mguu na ingeingia kambanikwanza ile penati angepewa Mayele afunge hata akiwa kafumba macho
umevurugwa na sare, huyo Shadeeya ni utopolo mwenzio.Hao ni makolo fc, nataka nione wanavyoteseka
Kumbe bado match nyingi hivi!!!Hapa kuna mechi japo moja lazima Yanga atapigwa tu.View attachment 2218315
Bado wenge la Inonga Baka linamsumbua huyo.Mwanzo mbaya kwa mayele haukuwa kwenye penati tu, kuna ile nafasi ya wazi sijui alipata ganzi gani pale mpaka akashindwa kufunga
😂😂😂😂Wewe sio kolo kweli wewe?Hao ni makolo fc, nataka nione wanavyoteseka
Sawa sawa usijari kumbe hii pia ni sababu ya kujifarijia punguza machungu ya leoTunawakumbusha point bado nyingi tu piganeni na kina geita.
Hustle mwenye penalty tano?
Kilichobaki ni kulinda heshimaCha muhimu bado Yanga hatujafungwa, tumelinda heshima yetu...😂😂😂
Scars Shadeeya Ghazwat Bill ukikaidi utapigwa2 Root OKW BOBAN SUNZU Tate Mkuu
park don
MAKOLOKOLO unateseeeeeka...... [emoji16]Kilichobaki ni kulinda heshima
Bora Makolo wanabwata sauti yao inafika mbali huko duniani. Utopolo wao wanabwata sauti yao inaishia Buza😅MAKOLOKOLO msioaibisha Taifa mlifanya nini hasa zaidi ya kuzurura tu miaka minne yote klabu bingwa na kurudi home kubwatabwata kama waimba singeli [emoji848][emoji38]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app