hata mm wamkoan nmeshangaa sanaYanga team nzuri sana kitu imekosa ni mashabiki
Sijawahi ona mashabiki wanaodeka duniani kama Yanga imagine hadi Sasa tiketi za 1000 sio sold out
Mi ni Yanga ila mashabiki wa Yanga Wana la kujifunza sana kwa Simba
Acha tu awemo. Magugu na ngano humea pamojaMzize hamna kitu[emoji706]
Mpaka sasa tungekua tushafunga kama 6 hiviHii game Wananchi tunapaswa kushinda nyingi ili na nafasi ya pili nayo tubebe
5imba atakuwa wa 3.Hii game Wananchi tunapaswa kushinda nyingi ili na nafasi ya pili nayo tubebe
Umenifanya nionekane mwehu kwa kichekoHii game Wananchi tunapaswa kushinda nyingi ili na nafasi ya pili nayo tubebe
Wewe na mzize ni nduguMzize hamna kitu🚮
Unaundugu na mchuchu wako??Akuuu! Mimi ndugu yangu ni Guedeeeee🤸💛💚
Mziiiizeeeeeeeeeeeee kazidi nyeto sanaItoshe kusema Mzize kakosa goli 3 za wazi
Anaweza kuta mzize alipiga punyeto maana sio kwa kukosa umakini hukoItoshe kusema Mzize kakosa goli 3 za wazi
Mzize akifika golini umakini unakosekana kabisaMziiiizeeeeeeeeeeeee kazidi nyeto sana
Mimi Mbona nipoSimba wamesusia uzi wao dah
Basi wamtafutie demu awe anashtua mara moja mojaAnaweza kuta mzize alipiga punyeto maana sio kwa kukosa umakini huko