The atlantic
JF-Expert Member
- Aug 1, 2023
- 390
- 670
Naona Azam kalegeza Uno. Kafuata maelekezo5imba atakuwa wa 3.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Azam kalegeza Uno. Kafuata maelekezo5imba atakuwa wa 3.
kwenda wapi?Yanga wanabebwa
Pale Azam fc anaongoza goli 4Huku Yanga, kule manyu
Aziz ki Hana account jf.Aziz tafuta mpira usisubir kumegewa hutapata goli
= kinachojiriLeo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc.
Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika.
Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo saa kumi ambapo ndio mchezo huu utaanza.
View attachment 2998801
View attachment 2999194
Kikosi cha Yanga kilichoanza
Hotelinikwenda wapi?
BongeKiiiiiiiiiiiiiii
nimeruka mpak nimejikuta juu ya batiAziziiiii Kiiii 🤸💚💛
Chumaaaaaa