Yanga SC Inawachezaji wengi wanaotoka kwenye mataifa makubwa kimpira. Ndio maana hawaitwi katika timu zao za taifa

Broo, it seems u know nothing about football nowadays

Khalid Aucho kapewa Ucaptain jana wa timu taifa baada ya Okwi kutoitwa timu ya taifa coz now mwamba hana timu anayo chezea kwahyo level yake ya competition ni ndogo
Kwa hiyo aucho kaitwa kwenye national team au hajaitwa?
 
Hapo kuna mchezaji 1 tu wa Tp mazembe ambaye ni Arsene Zolla ila As vita hakuna player hata mmoja, halafu ndo uje uulize wachezaji wa kutoka simba na Yanga kutoka congo yenye player kibao wanacheza Ufaransa na Ubelgiji
Na huyo ameitwa si kwa sababu ya uhitaji wa kocha Hector Cuper katika nafasi yake, bali ni kwa sababu ya kutokuwapo kwa mchezaji aitwaye Fabrice Nsakala Mayélé (Besiktas) ambaye yuko injured. huwa anacheza nafasi ya beki wa kushoto.
 
Kwa hiyo yanga haijapeleka mchezaji hata mmoja national team ukiachana na wachezaji wa hapa ndani?
Khalid Aucho
Djigui Diaara
Yacouba Sogne
Saido Ntibanzonkiza
 
Kwa hiyo yanga haijapeleka mchezaji hata mmoja national team ukiachana na wachezaji wa hapa ndani?
Yanga wangekuwa na wachezaji kutoka MALAWI ingepeleka wachezaji wengi sana ila ni kwa bahati mbaya wachezaji wengi wanatokea katika timu za Taifa ambazo zimewahi kushiriki Kombe la Dunia.
 
Na huyo ameitwa si kwa sababu ya uhitaji wa kocha Hector Cuper katika nafasi yake, bali ni kwa sababu ya kutokuwapo kwa mchezaji aitwaye Fabrice Nsakala Mayélé (Besiktas) ambaye yuko injured. huwa anacheza nafasi ya beki wa kushoto.
Yaah huyo zolla anacheza kushoto
 
Yanga ina wachezaji wangapi timu ya taifa ya Tanzania the lowest ranked country FiFa ukilinganisha na hiyo DRC ?
 
Yanga ina wachezaji wangapi timu ya taifa ya Tanzania the lowest ranked country FiFa ukilinganisha na hiyo DRC ?
Wachezaji wote ambao wanaanza kwenye first eleven ya Yanga wameitwa timu ya Taifa Coz sisi hatupeleki wachezaji kwenda kubahatisha

Feisal salum
Bakari Nondo mwamnyeto
Dickson Job
Kibwana Shomari
Ramadhani kabwili
 
Wachezaji wote ambao wanaanza kwenye first eleven ya Yanga wameitwa timu ya Taifa Coz sisi hatupeleki wachezaji kwenda kubahatisha

Feisal salum
Bakari Nondo mwamnyeto
Dickson Job
Kibwana Shomari
Ramadhani kabwili
Ramadhani Kabwili anaanza kwenye first eleven yenu ?
 
Yanga ina wachezaji wangapi timu ya taifa ya Tanzania the lowest ranked country FiFa ukilinganisha na hiyo DRC ?
Yanga SC inawachezaji regural pale National Team 3 ambao wote hao sio bench warmers.
 
Yanga wangekuwa na wachezaji kutoka MALAWI ingepeleka wachezaji wengi sana ila ni kwa bahati mbaya wachezaji wengi wanatokea katika timu za Taifa ambazo zimewahi kushiriki Kombe la Dunia.
kwa maana hiyo yanga ilibahatika kusajili wachezaji wabovu ambao ni unwanted kwenye national team?
 
Henock enonga ameitwa mbona hujamuweka?
 
Yule kipa wetu anayedaka hadi mishale vipi naye ameenda kwenye neshino timu?

Wasije tuumizia tukaanza kufungwa.
 
enock inonga mbona hujamuweka?
 
kwa maana hiyo yanga ilibahatika kusajili wachezaji wabovu ambao ni unwanted kwenye national team?
Ni wabovu & Unwanted ila kwa apa Bongo watazichapa sana fimbu.

Kama mbovu na unwanted Mayele alichokifanya majuzi pale kwa Mkapa.
 
enock inonga mbona hujamuweka?
Ingia katika website rasmi ya Linafoot halafu utazame kikosi alichokitangaza Kocha Hector Cuper juzi uone kama kuna mchezaji kutoka Tanzania.

Ila kama Ukimuona screenshot then utubandikie hapa, kama ujamuona waweza kuvunga tu kwa kukaa kimya maana nao ni uutu uzima. 😂 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…