Mbona Simba inajitapa kuwa ni timu kubwa Afrika wakat hata nusu fainali ya michuano ya Klabu bingwa haijawah fuzu?Hahaha [emoji1787] Mataifa makubwa hata hayajawai kushinda Afcon,jivunie kilicho chako,swali timu yako ya Tanzania timu ipi imetoa wachezaji wengi?
Kwa hiyo nime edit orodha rasmi ya kikosi si ndio...? Hebu jaribu wewe ku-edit tuone kama unaweza.hiki ulichokiweka hapa hata mimi naweza nikakifanya maradufu yake, naweza nikakuongezea idadi ya wachezaji hapo na pia nikitaka naweza nikawapunguza wachezaji ninao wataka, je nitakua nimekuthibitishia kua picha hiyo inasadiki ukweli?
Kikosi rasmi cha DRC dhidi ya Madagascar.Hiyo website imewekwa lugha ya kikongo afu hata hivyo hiyo squad sijaiona, labda unipe link
Hawa wamezoea kudanganywa huko utopoloni nao wanayachukua maneno kama yalivyo bila kuyafanyia tathmini
Wameanza mbali, ooh sijui ukienda insta na fb kwenye pages za kikongo utaona.
Hawa inaonekana hata hawana ile tiny clue, timu ya taifa ya kongo ina account twitter ambayo ni official, hakuna page yeyote facebook wala instagram
Pili hata kwenye hiyo page ya tweeter ukiingia utaona post ya mwisho ilikua ni tarehe 1 mwezi wa 9,, hakuna update yeyote kuhusiana na habari za kikosi cha timu ya taifa kilichoitwa
Wameanza kujitupatupa kama kuku aliyekatwa shingo, mmoja kasema hizo data zipo kwenye website ya linafoot, mi nikaingia hapo, napo huko nimekuta post ya mwisho ina siku tatu, halafu nsyo hsizungumzii chochote kuhusiana na timu ya taifa
Haya wametoka hapo wamekuja na picha ambayo imetengenezwa kindezi sana, chini ya ile picha kulikua na site name ambalo lilionesha kua ndio source ya hiyo habari pichani.
Nako huko chenga hakuna kitu, sasa kwanini wasikubali tu kua tuli invent uzushi tulijua utakua easy deluded kama utopolo ila tusamehe tu, mi ningewaelewa
Hatuwezi kukutafunia kila kitu wewe kolo na tunakuacha na ujinga wako na matokeo ya "Big results now"
Sakho na Kanoute ni Vijana. Je wameitwa kwenye timu zao za Taifa?Yanga inawachezJi wengi wazee kaka hawana tarlent wew ungesema mpira wetu bado upo chini
research yake ni ukurasa rasmi wa simba.Mkuu research huwa inapingwa kwa research
Tumeweka Kikosi cha congo DRC kilichoitwa na source zake kwamba Hakuna player wa congo anayetoka ligi ya Tanzania ila ww umesema yupo na inaitwa Henoc Inonga basi to cut long story short Weka Kikosi hicho cha congo na source yake, very easy na wala hutakiwi kutumia nguvu na kuandika riwaya kutetea ujinga ambao unajua ukweli wake
Mchezaji gani kutoka Simba SC hii msimu angepata namba pale Congo National Team? (wameita wachezaji wote wanao cheza Ulaya kasoro wachezaji 3)Acha kuzunguka tu we sema wachezaji wa yanga ni low quality hawana viwango vya kucheza timu za taifa hata wakiitwa husalia benchi tu.
Kusoma Kifaransa wakati kwenye post huwa kuna option translation ya kile kilichopostiwa, basi aende huko nilikomuelekeza halafu aje alete marejesho hapaAliniambia hawezi kusoma kifaransa kwa hiyo hana uwezo wa kutambua uhalali wa orodha! Nikaona niachane nae tu.