Yanga SC Inawachezaji wengi wanaotoka kwenye mataifa makubwa kimpira. Ndio maana hawaitwi katika timu zao za taifa

Yanga SC Inawachezaji wengi wanaotoka kwenye mataifa makubwa kimpira. Ndio maana hawaitwi katika timu zao za taifa

Hahaha [emoji1787] Mataifa makubwa hata hayajawai kushinda Afcon,jivunie kilicho chako,swali timu yako ya Tanzania timu ipi imetoa wachezaji wengi?
Mbona Simba inajitapa kuwa ni timu kubwa Afrika wakat hata nusu fainali ya michuano ya Klabu bingwa haijawah fuzu?
 
hiki ulichokiweka hapa hata mimi naweza nikakifanya maradufu yake, naweza nikakuongezea idadi ya wachezaji hapo na pia nikitaka naweza nikawapunguza wachezaji ninao wataka, je nitakua nimekuthibitishia kua picha hiyo inasadiki ukweli?
Kwa hiyo nime edit orodha rasmi ya kikosi si ndio...? Hebu jaribu wewe ku-edit tuone kama unaweza.
 
Hawa wamezoea kudanganywa huko utopoloni nao wanayachukua maneno kama yalivyo bila kuyafanyia tathmini

Wameanza mbali, ooh sijui ukienda insta na fb kwenye pages za kikongo utaona.

Hawa inaonekana hata hawana ile tiny clue, timu ya taifa ya kongo ina account twitter ambayo ni official, hakuna page yeyote facebook wala instagram

Pili hata kwenye hiyo page ya tweeter ukiingia utaona post ya mwisho ilikua ni tarehe 1 mwezi wa 9,, hakuna update yeyote kuhusiana na habari za kikosi cha timu ya taifa kilichoitwa

Wameanza kujitupatupa kama kuku aliyekatwa shingo, mmoja kasema hizo data zipo kwenye website ya linafoot, mi nikaingia hapo, napo huko nimekuta post ya mwisho ina siku tatu, halafu nsyo hsizungumzii chochote kuhusiana na timu ya taifa

Haya wametoka hapo wamekuja na picha ambayo imetengenezwa kindezi sana, chini ya ile picha kulikua na site name ambalo lilionesha kua ndio source ya hiyo habari pichani.

Nako huko chenga hakuna kitu, sasa kwanini wasikubali tu kua tuli invent uzushi tulijua utakua easy deluded kama utopolo ila tusamehe tu, mi ningewaelewa
Capture11.JPG
 
Yanga inawachezJi wengi wazee kaka hawana tarlent wew ungesema mpira wetu bado upo chini
 
Hatuwezi kukutafunia kila kitu wewe kolo na tunakuacha na ujinga wako na matokeo ya "Big results now"

Alisema nimletee orodha rasmi, nikaleta - akasema macho yake mabovu hayaoni vizuri.

Nikamletea picha orodha rasmi yenye maandishi makubwa - akasema nime Edit.

Nikamletea link ya ukurasa rasmi wa shirikisho la mpira wa miguu kongo ambayo inampeleka moja kwa moja kwenye kikosi cha wachezaji watakao wavaa madagascar - akasema ukurasa umeandikwa kifaransa yeye hawezi kusoma na kuelewa. (
1633518390093.png


😂 😂 😂 😂
 
Yanga inawachezJi wengi wazee kaka hawana tarlent wew ungesema mpira wetu bado upo chini
Sakho na Kanoute ni Vijana. Je wameitwa kwenye timu zao za Taifa?

Meddie Kagere ana miaka 34 kaitwa Je yeye ni kijana zaidi kuliko Yacouba Sogne?
 
Mkuu research huwa inapingwa kwa research

Tumeweka Kikosi cha congo DRC kilichoitwa na source zake kwamba Hakuna player wa congo anayetoka ligi ya Tanzania ila ww umesema yupo na inaitwa Henoc Inonga basi to cut long story short Weka Kikosi hicho cha congo na source yake, very easy na wala hutakiwi kutumia nguvu na kuandika riwaya kutetea ujinga ambao unajua ukweli wake
research yake ni ukurasa rasmi wa simba.

Hana uwezo wa kuleta orodha ya wachezaji walio itwa timu ya taifa ya Congo ambamo Inonga yumo

Hana Uwezo huo

Narudia tena...Hana uwezo huo..


Yaani hata ku-edit...hana uwezo huo.
 
Mkuu demigod nimemwambia akaingie Leopardsfoot hiyo ndo officail page ya timu ya taifa ya congo aende akaangalie kikosi huko
 
Acha kuzunguka tu we sema wachezaji wa yanga ni low quality hawana viwango vya kucheza timu za taifa hata wakiitwa husalia benchi tu.
Mchezaji gani kutoka Simba SC hii msimu angepata namba pale Congo National Team? (wameita wachezaji wote wanao cheza Ulaya kasoro wachezaji 3)

Mchezaji gani kutoka Simba SC hii msimu angepata namba pale Burkinafaso? (wameita wachezaji wote wanao cheza Ulaya)

Mchezaji gani kutoka Simba SC hii msimu angepata namba pale Mali? (wameita wachezaji wote wanao cheza Ulaya)

Ukipata jawabu a maswali haya utajua kwanini Kanoute na Sako hawajaitwa kwenye timu zao za Taifa?
 
Mkuu demigod nimemwambia akaingie Leopardsfoot hiyo ndo officail page ya timu ya taifa ya congo aende akaangalie kikosi huko

Aliniambia hawezi kusoma kifaransa kwa hiyo hana uwezo wa kutambua uhalali wa orodha! Nikaona niachane nae tu.
 
Makolo kama wanaumwa tumbo la uzazi...wanahangaika na wananchi...
 
Aliniambia hawezi kusoma kifaransa kwa hiyo hana uwezo wa kutambua uhalali wa orodha! Nikaona niachane nae tu.
Kusoma Kifaransa wakati kwenye post huwa kuna option translation ya kile kilichopostiwa, basi aende huko nilikomuelekeza halafu aje alete marejesho hapa
 
 
Kusoma Kifaransa wakati kwenye post huwa kuna option translation ya kile kilichopostiwa, basi aende huko nilikomuelekeza halafu aje alete marejesho hapa
Elimu mzee Baba!
 
Au mkuu demigod kama vipi nenda now kule Instagram kwenye page yao rasmi ya Dr Congo national team inaitwa Leopardsfoot.

Umletee huyu Scars hizo screenshot hapa ili aone kama yeye ni Mbumbumbu sio kwa kuonewa ila ni kwa laana ya Ismail Aden Rage
 
Back
Top Bottom